Tra wafanya kweli tatizo la road license

Tra wafanya kweli tatizo la road license

hsbaky

Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
25
Reaction score
7
Wanajamvi nawasalimia Waungwana.
Kwenye pitapita yangu nimekutana na hii Habari ya TRA kutumia mfumo wa simu za mkononi kulipia kodi za magari.
Kwa kweli nawapongeza sana kwa hatua hii muhimu ambayo imechelewa. Wafanyakazi wa TRA, Police na Vishoka mmetutesa sana kwa hili la kodi za magari. Sasa kilichobaki hatutaki usumbufu Barabarani. Waunganisheni polisi wawe wanaona ukweli wasifanye kazi kwa hisia.
Pia TRA toeni namba tutakayoitumia kuwatumieni sms ya wala rushwa wakubwa kwenye ofisi zenu.
Wadau naomba niwashirikishe kwa kiambatanisho hapo chini. Nawasilisha.
uploadfromtaptalk1376129015344.jpg
uploadfromtaptalk1376129038687.jpg
uploadfromtaptalk1376129055260.jpg
 
mkuu mie license imeisha na nipo mbali na home nijulishe niitume faster
 
Kiongozi
Angalia tangazo lao nimeliambatanisha hapo jinsi ya kulipa na kupata sticker au card yako.
 
usikute wametuongezea mzigo wa gharama, hivi hizo sms si zinalipiwa au ni bure?
 
usikute wametuongezea mzigo wa gharama, hivi hizo sms si zinalipiwa au ni bure?
Mkuu weka gharama za nauli au mafuta angeza na muda ndio utajua kama sms ni ghali au rahisi. Za kuambiwa chanhanya na za kwako
 
Kiongozi,
Hata kama kuna gharama za sms, haziwezi kulinganishwa na mausumbufu ambayo tumekuwa tukiyapata kwa kupata kitu kidogo kama sticker au card.

Ni kweli kama alivyo sema mkuu hapo adha ya :
1) Foleni
2) Muda
3) kujibiwa hovyo
4) pesa za hongo
5) Usafiri wa kwenda na kurudi
6) Vishoka
7) nk
Hii imetatua kwa kiasi kikubwa.
 
Back
Top Bottom