wakuu eeeh,mimi mwenyewe wamenipigia leo mchana na wameniambia hivyo hivyo kuwa watanitumia email na niiprint hyo barua ila hadi sasa naingia net sioni kitu,inakuaje sasa?,msaada tafadhali,shavu hiliiiiiiiiiii,niwatimbie siku ya intavyuu na simu yangu niwaonyeshe namba yao na muda walionipigia nini huku nikiwa namivyeti yangu?