TRA: Tumekusanya jumla ya Shilingi Trilioni 3.65 kuanzia Julai hadi Septemba 2017(Robo ya kwanza mwaka wa fedha 2017/18)

TRA imesema imekusanya jumla ya Sh3.65 trilioni kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2017/18 kuanzia mwezi Julai hadi Septemba.

Makusanyo hayo ni sawa na ukuaji wa asilimia 1.2 ikilinganishwa na makusanyo ya kipindi kama hicho kwa mwaka wa fedha 2016/17.

View attachment 606231
Inakuwaje ripoti ya mwanzoni mwa mwezi September inataja mapato ya mwezi wote wa September?.
 
Mwezi july inawezekana maana watu walilipa kodi ya majengo, kuna faini za polisi na kodi kwenye mafuta
 
Hawa wapuuz wameshatuona Watanzania ni Mapunga .Si juzi juzi Serikali imekopa US $ 500 mill ,that is a gigantic pile of money as far as I know putting aside the claimed interest rate of such loan which everybody knows is absolutely insane , ridiculous and mind boggling

But apart from that we have to bear in our minds several logic questions

1. why our Government undertook such loan if TRA has managed to collect such huge wagon of revenue within a short time as it is claimed to be

2. What have we done with such revenue so far anyway , I mean investing it back heavily to the community for social & economic development projects and stuffs like that , because this is the only way of building self dependent , sustainable economy & development within any country ,every country which has succeeded economically they have perfectly coped with this system " Revenue collection & investing back to the internal economic sectors " so as to generate more profit as revenue by the Government as well as Employment at the same time infrastructures, industries and stuffs like those ,otherwise development in our country will be a forever unattainable dream .I believe with such trend we can fund our own new industrial projects along side resuming old factories within the country that can flush around massive employments to youths in hundreds of thousands and overcome to a great extent poverty within our communities

Serikali inabidi isikilize ushauri n'a mawazo ya watu hata kama ni wa hitikadi za vyama pinzani
Naamini kwenye nchi yetu Kuna wataalamu lukuki wa masuala ya uchumi ,uwekezaji na biashara naamini wanaweza kutusaidia kabuni n'a kutekeleza mifumo mizuri ya uchumi , biashara na uwekezaji na tuka piga hatua kubwa ya kimaendeleo winthin few years to come

Our leaders have to be ashamed, hanging around for political campaigns after 5 years by using tax payers money adressing same problems that have been there for several decades now in our countries vitu kama barabara , maji ,umeme ,afya miundo mbinu ya usafirishaji na mawasiliano hii ni aibu kubwa kwa Taifa na ni siasa za mchumia tumbo nchi hii tungekuwa mbali sana because we have got everything that it takes to be there

Lasivyo tukiendekeza siasa chuki, visasi, kupimana mikojo , uvyama ,kuwindana kwa mitutu ya bunduki na kuchafuana kwenye majukwaa these things won't get us anywhere tutaishia kupiga ramli kumtafuta mchawi kila siku

We have got to work together as a Nation
 
Mtu anadai serikari imekopa $500m, si muda anaeleza mapato ya serikari yameshuka mpaka sh600b na wakati majukumu yao ya mishahara pekee inagharimu zaidi ya sh500bn. Hakuna anaeuliza uhalali wa hizo statement kama zina make sense even without seeing the data kila mtu anakubali moja kwa moja na kupeleka accusation bila ya kujali usahihi wa habari au hata kujiuliza possibilities zake.

On the other hand serikari inawaeleza mapato yao on average kwa miezi mitatu from new calendar are averaging sh1.27trillion watu hao hao awataki kukubali na kila mtu anapinga again bila ya kujiuliza possibilities zake na kujiridhisha nani muongo kati ya TRA na Zitto.

Well kama ni kweli serikari imeweza kopeshwa $500m which is likely the case maana those sums have been verified with other international media unaweza jipimia mwenyewe nani mkweli. Kwanza lazima tuelewe hakuna mtu anatoa pesa zake bila ya kukufanyia risk assessment ya uwezo wako wa kulipa deni lake na kabla ujakopa checks zake zinazingatia mikopo uliyonayo na commitment zake.

Na chombo kinachotumika kufanya verificiation ya national accounts ni IMF and World Bank wao wanapokea data zote za nchi zenye mikopo na hali zao za uchumi.

Risks assessment zina test nyingi mifano michache mkopaji anayotumia ata angalia vitu vifuatavyo:

Redemption profile: madeni uliyonayo, muda wake lini, commitment za ulipaji na yeye akikupa utaweza mudu deni kweli especially if its short term loan.

Rollover risks: Mara nyingi madeni ya bank (ambapo hizo $500m zimetoka) usipolipa on time kuna charges zake, bank lazima wajiridhishe utaweza lipa charges if you decide to rollover given the nation other public debt commitment.

Fiscal and external vulnerability: indicators zako za uchumi zikoje are they sustainable kujiridhisha mapato yako ayato poromoka ghafla na potential ya mbele ikoje

Debt to foreign reserve ratio: kama deni la nje lazima wajihakikishie hilo na import ya nchi plays a big factor maana kama reserves ulizonazo azirishidhi na bado exports zako azileti enough foreign revenue is a concern wewe kubadili hela yako kwa nchi kama Tanzania kuwalipa deni linaweza kuwa kubwa zaidi na ushindwe ku sustain.

Public Debt Service to Government Revenue Ratio; this is the mother of all test mapato yote ya serikari, majukumu yake na uwezo wa kulipa madeni yake.

....The list of test is endeless lakini embu tujiulize kama kuna risk assessment za aina hiyo kabla watu awajatoa pesa zao nani mkweli Zitto anaedai serikari inakusanya mapato ya sh600bn lakini imeweza kopeshwa $500 au serikari inachosema ni kweli maana vinginevyo kama wamekopwa ina maana bado mapato yao ni stable.

To me the answer is clear nani muongo.
 
3.65TR /3=1.22 tr per month,Magufuli we got your back baba,hii ndio Tanzania tunayoitaka,muda sio mrefu phase 3 ya SGR itatangazwa tenda
Barua imeandikwa 10/09/2017, sasa mapato ya mwezi September yalitabiriwa au vipi!
 
Mtu anadai serikari imekopa $500m, si muda anaeleza mapato ya serikari yameshuka mpaka sh600b na wakati majukumu yao ya mishahara pekee inagharimu zaidi ya sh500bn. Hakuna anaeuliza uhalali wa hizo statement kama zina make sense even without seeing the data kila mtu anakubali moja kwa moja na kupeleka accusation bila ya kujali usahihi wa habari au hata kujiuliza possibilities zake.

On the other hand serikari inawaeleza mapato yao on average kwa miezi mitatu from new calendar are averaging sh1.27trillion watu hao hao awataki kukubali na kila mtu anapinga again bila ya kujiuliza possibilities zake na kujiridhisha nani muongo kati ya TRA na Zitto.

Well kama ni kweli serikari imeweza kopeshwa $500m which is likely the case maana those sums have been verified with other international media unaweza jipimia mwenyewe nani mkweli. Kwanza lazima tuelewe hakuna mtu anatoa pesa zake bila ya kukufanyia risk assessment ya uwezo wako wa kulipa deni lake na kabla ujakopa checks zake zinazingatia mikopo uliyonayo na commitment zake.

Na chombo kinachotumika kufanya verificiation ya national accounts ni IMF and World Bank wao wanapokea data zote za nchi zenye mikopo na hali zao za uchumi.

Risks assessment zina test nyingi mifano michache mkopaji anayotumia ata angalia vitu vifuatavyo:

Redemption profile: madeni uliyonayo, muda wake lini, commitment za ulipaji na yeye akikupa utaweza mudu deni kweli especially if its short term loan.

Rollover risks: Mara nyingi madeni ya bank (ambapo hizo $500m zimetoka) usipolipa on time kuna charges zake, bank lazima wajiridhishe utaweza lipa charges if you decide to rollover given the nation other public debt commitment.

Fiscal and external vulnerability: indicators zako za uchumi zikoje are they sustainable kujiridhisha mapato yako ayato poromoka ghafla na potential ya mbele ikoje

Debt to foreign reserve ratio: kama deni la nje lazima wajihakikishie hilo na import ya nchi plays a big factor maana kama reserves ulizonazo azirishidhi na bado exports zako azileti enough foreign revenue is a concern wewe kubadili hela yako kwa nchi kama Tanzania kuwalipa deni linaweza kuwa kubwa zaidi na ushindwe ku sustain.

Public Debt Service to Government Revenue Ratio; this is the mother of all test mapato yote ya serikari, majukumu yake na uwezo wa kulipa madeni yake.

....The list of test is endeless lakini embu tujiulize kama kuna risk assessment za aina hiyo kabla watu awajatoa pesa zao nani mkweli Zitto anaedai serikari inakusanya mapato ya sh600bn lakini imeweza kopeshwa $500 au serikari inachosema ni kweli maana vinginevyo kama wamekopwa ina maana bado mapato yao ni stable.

To me the answer is clear nani muongo.

Maelezo mengi lakini hayana tija huku yakichanganywa na kiswahili na kiingereza. Angalia hiyo report ni ya tarehe 10 spetember. Unawezaje kutoa makusanyo ya mwezi husika kabla hata mwezi wenyewe jaujaisha?

Tuje kwenye mikopo, ingekuwa hizo sifa unazotaja kuhusu kukopeshwa tusingekopeshwa kabisa kwani tuna madeni makubwa ambayo hatujayalipa mpaka sasa na mengine imebidi tusamehewe. Tunajua TRA inaongopa ili kuilinda serekali lakini tuwe makini basi kwani watu sio wajinga hivyo. Bado tutaendelea kumuamini Zitto kuliko serekali inayotoa ripoti yenye utata.
 
TRA imesema imekusanya jumla ya Sh3.65 trilioni kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2017/18 kuanzia mwezi Julai hadi Septemba.

Makusanyo hayo ni sawa na ukuaji wa asilimia 1.2 ikilinganishwa na makusanyo ya kipindi kama hicho kwa mwaka wa fedha 2016/17.

View attachment 606231
Hii taarifa imeonekana kuwa ni fake...
Maana takwimu inaonyesha makusanyo ya mwezi September wote....ilihali barua imechapishwa tarehe 10/09/2017....

Hamuoni kuwa tumeongopewa hapo...?

Mnaopongeza inabidi tuwachunguze vyeti...
 
3.65TR /3=1.22 tr per month,Magufuli we got your back baba,hii ndio Tanzania tunayoitaka,muda sio mrefu phase 3 ya SGR itatangazwa tenda
Ama kweli njia ya mwongo ni fupi. Ripoti imeandikwa tarehe 10 Septemba lakini ina makusanyo ya kodi mpaka tarehe 30 Septemba!!
 
Maelezo mengi lakini hayana tija huku yakichanganywa na kiswahili na kiingereza. Angalia hiyo report ni ya tarehe 10 spetember. Unawezaje kutoa makusanyo ya mwezi husika kabla hata mwezi wenyewe jaujaisha?

Tuje kwenye mikopo, ingekuwa hizo sifa unazotaja kuhusu kukopeshwa tusingekopeshwa kabisa kwani tuna madeni makubwa ambayo hatujayalipa mpaka sasa na mengine imebidi tusamehewe. Tunajua TRA inaongopa ili kuilinda serekali lakini tuwe makini basi kwani watu sio wajinga hivyo. Bado tutaendelea kumuamini Zitto kuliko serekali inayotoa ripoti yenye utata.

Mkuu nadhani you are better kuliko watu wanaopekewa ushauri instagram, serikari inasema quarterly kwa miezi 12 maana yake kila miezi mitatu. Mwaka mpya wa budget unaanza 6 ina maana hayo makusanyo ni mpaka mwezi wa nane (6,7,8) ndio quarter hiyo tarehe ni press released date; its just simple logic.

Kuhusu madeni sijui naanzia wapi ni hivi inabidi urudi nyuma kwanza upate historical perspective na evolution ya frameworks za risk management kuanzia sababu zilizosababisha 1980's debt crisis, Tequila and Asian crisis of the 1990's. Ukipitia huko ndio unaweza elewa imefikia vipi IMF na WB kuja na risk assesment frameworks.

Usidhani huo utaratibu ni kwa Tanzania tu isitoshe you do know ingawa unaweza ona deni la taifa ni kubwa ghafla lakini ujui kiasi gani ni hela ambazo zinadaiwa benki especially kipindi hiki ambapo serikari iliamua kutoa pesa zake na kuziweka BoT you do know mikopo ya benki ambayo serikari ina hisa wao ndio guarantors (ata kama inalipwa na mabenki yenyewe) kwa hivyo deni linawekwa kwao unless sasa uanze kutofautisha mambo ya public na private debt ni hivi it is complicated.

Nevertheless returning to the topic of this thread given the current IMF framework kama serikari ingekuwa mapato yake sh600bn with current debt obligations isingekopeshwa $500m.
 
serekali ya brazil ilikuwa inapika data hivi hivi. mjinga ndo atakaeamini makusanyo hayo.

tatizo ccm mnaona watanzania hatujui uchumi wala hatujui kinachoendelea.

uchumi haudanganywi kwa mwavuli wa maneno matamu ya kisiasa.

kama wewe sio mtaalamu wa uchumi piga moyo konde january-march utaona kwa picha.
Daah kuwa mpinzani wakati fulani ni kinyaa.!! Nadhani mwisho wa siku hata wewe mwenyewe unaweza kujipinga ukikosa hoja.
 
Hebu ngoja kidogo, haya ni matarajio au uhalisia? Ripoti imetolewa tar 10 mwezi september ikiwa na mapato ya mwezi september yote. TRA ni ma genius aisee yaani wanatabiri na hela inakuja ile ile hebu watuambie Octoba Novemba na Desemba itakuwa ngapi. Na je 2020 nani atashinda?
TRA= Sheikh Yahaya
 
TRA imesema imekusanya jumla ya Sh3.65 trilioni kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2017/18 kuanzia mwezi Julai hadi Septemba.

Makusanyo hayo ni sawa na ukuaji wa asilimia 1.2 ikilinganishwa na makusanyo ya kipindi kama hicho kwa mwaka wa fedha 2016/17.

View attachment 606231
Uwoongo,mbona serikali inashindwa kuajiri hata nesi mmoja
 
Hii taarifa imeonekana kuwa ni fake...
Maana takwimu inaonyesha makusanyo ya mwezi September wote....ilihali barua imechapishwa tarehe 10/09/2017....

Hamuoni kuwa tumeongopewa hapo...?

Mnaopongeza inabidi tuwachunguze vyeti...
Inawezekana wako sawa. Mbona Tundu Lissu alipewa pole mwezi mmoja kabla ya kupigwa risasi.
 
Mkuu nadhani you are better kuliko watu wanaopekewa ushauri instagram, serikari inasema quarterly kwa miezi 12 maana yake kila miezi mitatu. Mwaka mpya wa budget unaanza 6 ina maana hayo makusanyo ni mpaka mwezi wa nane (6,7,8) ndio quarter hiyo tarehe ni press released date; its just simple logic.

Kuhusu madeni sijui naanzia wapi ni hivi inabidi urudi nyuma kwanza upate historical perspective na evolution ya frameworks za risk management kuanzia sababu zilizosababisha 1980's debt crisis, Tequila and Asian crisis of the 1990's. Ukipitia huko ndio unaweza elewa imefikia vipi IMF na WB kuja na risk assesment frameworks.

Usidhani huo utaratibu ni kwa Tanzania tu isitoshe you do know ingawa unaweza ona deni la taifa ni kubwa ghafla lakini ujui kiasi gani ni hela ambazo zinadaiwa benki especially kipindi hiki ambapo serikari iliamua kutoa pesa zake na kuziweka BoT you do know mikopo ya benki ambayo serikari ina hisa wao ndio guarantors (ata kama inalipwa na mabenki yenyewe) kwa hivyo deni linawekwa kwao unless sasa uanze kutofautisha mambo ya public na private debt ni hivi it is complicated.

Nevertheless returning to the topic of this thread given the current IMF framework kama serikari ingekuwa mapato yake sh600bn with current debt obligations isingekopeshwa $500m.
Kama kuna kitu hukijui ni vema kunyamaza. Mwaka wa bajeti wa Tz unaanza Juni??? Kweli???
 
Mkuu nadhani you are better kuliko watu wanaopekewa ushauri instagram, serikari inasema quarterly kwa miezi 12 maana yake kila miezi mitatu. Mwaka mpya wa budget unaanza 6 ina maana hayo makusanyo ni mpaka mwezi wa nane (6,7,8) ndio quarter hiyo tarehe ni press released date; its just simple logic.

Kuhusu madeni sijui naanzia wapi ni hivi inabidi urudi nyuma kwanza upate historical perspective na evolution ya frameworks za risk management kuanzia sababu zilizosababisha 1980's debt crisis, Tequila and Asian crisis of the 1990's. Ukipitia huko ndio unaweza elewa imefikia vipi IMF na WB kuja na risk assesment frameworks.

Usidhani huo utaratibu ni kwa Tanzania tu isitoshe you do know ingawa unaweza ona deni la taifa ni kubwa ghafla lakini ujui kiasi gani ni hela ambazo zinadaiwa benki especially kipindi hiki ambapo serikari iliamua kutoa pesa zake na kuziweka BoT you do know mikopo ya benki ambayo serikari ina hisa wao ndio guarantors (ata kama inalipwa na mabenki yenyewe) kwa hivyo deni linawekwa kwao unless sasa uanze kutofautisha mambo ya public na private debt ni hivi it is complicated.

Nevertheless returning to the topic of this thread given the current IMF framework kama serikari ingekuwa mapato yake sh600bn with current debt obligations isingekopeshwa $500m.

Unalazimisha majibu, makusanyo ni quartely ambayo ni july, august na september. Sasa unapoona tarehe 10 september kabla ya mwezi kwisha, lazima upate mashaka tena makubwa. Unasema eti kukopeshwa, huenda ndio maana tumekopeshwa hiyo hela na riba kubwa kiasi hicho kwani hatueleweki.
 
Watu muelewa kabisa izo pesa sio kma zipo cash on hand hpana iyo inaitwa accrual hyo ni makadilio tu
Sasa nyie jipongezeni
 
ubaya ni kuwa huwezi danganya watu siku zote... kama wangekuwa wanakusanya hzio hela sidhani kama wangekuwa kimya hadi kina zitto wawashtue....
kwanini hawajatangaza ya kila mwezi?
kwanini bot hawatoi taarifa?
jana tu mfumuko wa bei umesemekana kupanda leo eti wamekusanya tri 3.6
Nauliza tu hivi zile kodi zilizokuwa zinakusanywa na Halmashauri bado zinakusanywa na halmashauri. Wangetuletea mahesabu kodi zilizokuwa zinakusanywa na halmashauri wamekusanya ngapi ili tuone. Ok wengine walikuwa wanalipa madeni za nyuma tunasubiri makusanyo za kuanzia october wala sio mbali. Ila mkiwa na rais mnafiki mpenda sifa hata ofisi za serikali zinasema uongo katika kulinda nafasi zao. Mmekusanya matrilioni mbona wananchi bado wanalia na huduma muhimu. Watadanganya sana ila ukweli itajulikana tu ONE DAY
 
Back
Top Bottom