Nenda waambie nimeshidwa kulipa hiyo kodi naona sitaimudu kulingana na aina ya biashara mtaji wake na gharama za uendeshaji, kwa hiyo umeamua kuifunga, pia ingekua vizuri ukaonana na meneja wa tawi au yule anaepitisha kiwango cha kodi kilichokadiriwa na maafisa wa chini yake unaweza kuongea nae ukamuomba akakupunguzia,
Angalizo, kama uliwaambia kua ushafungua biashara lazima uwalipe kwa kipindi ulichofanya biashara, kama ndivyo andika barua mapema ya kufunga biashara yako hata kama utakua hujalipa deni ili kukwepa deni kuongezeka kila mwezi.