mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Acha uoga.
Kama huna we tulia tuliii.
Endelea kufanya biashara yako.
mpaka waje wenyewe.waone na mjadiliane.
Wakiifunga saloon basi.
kwanza kodi kutoa ni huruma tu ya wananchi.
serikali nayo ipambane na hali yake
Iwe na vyanzo vyake vya kujiingizia mapato.
Kama huna we tulia tuliii.
Endelea kufanya biashara yako.
mpaka waje wenyewe.waone na mjadiliane.
Wakiifunga saloon basi.
kwanza kodi kutoa ni huruma tu ya wananchi.
serikali nayo ipambane na hali yake
Iwe na vyanzo vyake vya kujiingizia mapato.