GAS STATE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,770
- 956
andaa daftari la mauzo/huduma uliyotoa kwa kila siku then siku ya mwisho ikifika nenda nalo wambie tangu umefungua umeambulia hela hiyo tu so huna cha kulipa. WATAKUELEWA.
Please kama hutoweka kumbukumbu ya mauzo yako ya kila siku utapata tabu sana siku ya kulipa itapofika maana hawataki mdomo bali maandishi/records
Please kama hutoweka kumbukumbu ya mauzo yako ya kila siku utapata tabu sana siku ya kulipa itapofika maana hawataki mdomo bali maandishi/records