TRA takwimu hizi mtupatie pia

TRA takwimu hizi mtupatie pia

unaandika barua siku uliyoacha biashara
ili wasikudai kodi ukiwa haufanyi biashara
Sasa wataverify vipi kama umeacha kufanya biashara? Ukiandika barua then ukaendelea kupiga business inakuwaje?

Jambo la pili, say uliacha kufanya biashara tangu mwezi January harafu ukaibukia TRA mwezi huu, watakubali kirahisi kutokukudai returns za toka kipindi hicho?
 
Sasa wataverify vipi kama umeacha kufanya biashara? Ukiandika barua then ukaendelea kupiga business inakuwaje?

Jambo la pili, say uliacha kufanya biashara tangu mwezi January harafu ukaibukia TRA mwezi huu, watakubali kirahisi kutokukudai returns za toka kipindi hicho?

barua ni hatua ya kwanza tu
wana namna ya ku verify
 
Wakwepa kodi utawala wa Magufuli mtapata shida sana.
 
Hio habari ya kubadili Tin sijui ni kitu gani lakini hawa jamaa labda wamebum kimtandao. Wameuharibu na sasa wanafanya ujanja wa kuhakiki...ukiangalia tin zipo na zote zipo katika mfumo wao iweje ghafla ukahakiki. Haya mamboya kuhakiki ni ya mwaka 47. Mfumo wa ki kompyuta haufutiki waka kuungua kwa daftari... Wanafuja fedha tu.
Tin zote zina taarifa zote muhimu na fingure print. Hata zile za binafsi za kuchukulia licence xina taarifa zote.
Labda ndo wataalam wa Kagame wamekuja
 
Juzi nilienda TRA nikashangazwa na idadi kubwa
ya wafanyabiashara waliopeleka barua TRA za kufunga biashara

Nikawa najiuliza je idadi hali nchi nzima ikoje?
inaweza kulinganishwa na mwaka jana au juzi?
ongezeko la asilimia ngapi?

Je wanaokwenda kuomba TIN no na wanaofungua biashara
idadi imepungua ? kwa asilimia ngapi?

Hizi taarifa kama TRA watakuwa wakweli zinaweza saidia kujua
'hali halisi ya uchumi wetu'

Kama kuna watu wa TRA humu tunaomba mtusaidie hizi taarifa
Matumizi ya TIN
Kusajili gari
Kutengeneza lesseni ya udereva
Kuanzisha Biashara

Kila mtu mwenye gari ana TIN
Kila mwenye lesseni ta udereva ana TIN

Sijajua wanasajili TIN zipi hapo maana si kila TIN ni ya biashara.
Kama ni zote hapo na zingine nisizozifahamu hiyo takwimu haitatusaidia
 
Juzi nilienda TRA nikashangazwa na idadi kubwa
ya wafanyabiashara waliopeleka barua TRA za kufunga biashara

Nikawa najiuliza je idadi hali nchi nzima ikoje?
inaweza kulinganishwa na mwaka jana au juzi?
ongezeko la asilimia ngapi?

Je wanaokwenda kuomba TIN no na wanaofungua biashara
idadi imepungua ? kwa asilimia ngapi?

Hizi taarifa kama TRA watakuwa wakweli zinaweza saidia kujua
'hali halisi ya uchumi wetu'

Kama kuna watu wa TRA humu tunaomba mtusaidie hizi taarifa
The Boss naona tuanze na takwimu za kwako! unaposema " idadi kubwa" ni wangapi na ni ofisi ipi ? Baada ya hapo tunaweza kupata picha kidogo. Je hiyo "idadi kubwa" ni wote walikuwa wanafunga biashara au walikuwa na shughuli nyingine hapo ofisi ya TRA ?
 
Juzi nilienda TRA nikashangazwa na idadi kubwa
ya wafanyabiashara waliopeleka barua TRA za kufunga biashara

Nikawa najiuliza je idadi hali nchi nzima ikoje?
inaweza kulinganishwa na mwaka jana au juzi?
ongezeko la asilimia ngapi?

Je wanaokwenda kuomba TIN no na wanaofungua biashara
idadi imepungua ? kwa asilimia ngapi?

Hizi taarifa kama TRA watakuwa wakweli zinaweza saidia kujua
'hali halisi ya uchumi wetu'

Kama kuna watu wa TRA humu tunaomba mtusaidie hizi taarifa
Je hao walikua wafanya Biashara ama wakwepa Kodi ?
 
TIN niliyonunulia gari 2011 nilimtuma tu agent naamini vitu kama finger prints sikuweka je nayo ipo katika mfumo WA kwenda kuboreshwa kwa anaefahamu tafadhari anijuze.
 
...Atakayethubutu kutoa takwimu hizo basi ataitwa mchochezi na cha mtema kuni atakiona. Ni Serikali dhalimu inayoendeshwa kwa vitisho na .
Utaratibu wa kufunga biashara ni wa kisheria si kwenda TRA tu
Fafanua zaidi kwa faida ya wengi maana wengi wanajua ni kwenda TRA na kutoa taarifa tu ili jamaa wasiendelee kukupigia mahesabu yao
 
juzi nilikuwa mkoa Fulani, watu walio waandikia TRA kuwa wanafunga biashara ni wengi kwelikweli. Hali ni ngumu sana.Bank nyingi siku hizi hazina wateja, bado kidogo matawi ya mikoani yatafungwa.
Bank lazima walie walikuwa wanaringia fedha ya serikali JPM kazirudisha BOT
 
The Boss naona tuanze na takwimu za kwako! unaposema " idadi kubwa" ni wangapi na ni ofisi ipi ? Baada ya hapo tunaweza kupata picha kidogo. Je hiyo "idadi kubwa" ni wote walikuwa wanafunga biashara au walikuwa na shughuli nyingine hapo ofisi ya TRA ?

Ndio maana na mimi nikaomba takwimu rasmi
niliyoyaona mimi kwa siku moja hayawezi kuwa ndo hali halisi
wao TRA ndo watusaidie ukweli
 
Back
Top Bottom