TRA takwimu hizi mtupatie pia

TRA takwimu hizi mtupatie pia

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,666
Juzi nilienda TRA nikashangazwa na idadi kubwa ya wafanyabiashara waliopeleka barua TRA za kufunga biashara.

Nikawa najiuliza je idadi hali nchi nzima ikoje?
Inaweza kulinganishwa na mwaka jana au juzi?
Ongezeko la asilimia ngapi?

Je, wanaokwenda kuomba TIN no na wanaofungua biashara idadi imepungua? Kwa asilimia ngapi?

Hizi taarifa kama TRA watakuwa wakweli zinaweza saidia kujua 'hali halisi ya uchumi wetu'

Kama kuna watu wa TRA humu tunaomba mtusaidie hizi taarifa.
 
Mkuu hizi takwimu kamwe haziwezi kutolewa maana ni siri kubwa sana. Atakayethubutu kutoa takwimu hizo basi ataitwa mchochezi na cha mtema kuni atakiona. Ni Serikali dhalimu inayoendeshwa kwa vitisho na kwa watu wanaogopa "kutumbuliwa" basi ukweli ambao Watanzania wengi tungependa kuujua utaendelea kufichwa chini ya carpet kwa juhudi kubwa sana.

Juzi nilienda TRA nikashangazwa na idadi kubwa
ya wafanyabiashara waliopeleka barua TRA za kufunga biashara

Nikawa najiuliza je idadi hali nchi nzima ikoje?
inaweza kulinganishwa na mwaka jana au juzi?
ongezeko la asilimia ngapi?

Je wanaokwenda kuomba TIN no na wanaofungua biashara
idadi imepungua ? kwa asilimia ngapi?

Hizi taarifa kama TRA watakuwa wakweli zinaweza saidia kujua
'hali halisi ya uchumi wetu'

Kama kuna watu wa TRA humu tunaomba mtusaidie hizi taarifa
 
Mkuu hizi takwimu kamwe haziwezi kutolewa maana ni siri kubwa sana. Atakayethubutu kutoa takwimu hizo basi ataitwa mchochezi na cha mtema kuni atakiona. Ni Serikali dhalimu inayoendeshwa kwa vitisho na kwa watu wanaogopa "kutumbuliwa" basi ukweli ambao Watanzania wengi tungependa kuujua utaendelea kufichwa chini ya carpet kwa juhudi kubwa sana.

Sasa kufichaficha hakuwasaidii
ni ugonjwa huu utaleta kifo
 
Kabisa, na kuna dalili za kutosha kuonyesha uchumi wa nchi umeyumba sana katika hii miezi kumi ya sera za kukurupuka na mwendo kasi, lakini wenyewe watakwamba "Mapato yanayokusanywa na TRA yameongezeka"

Sasa kufichaficha hakuwasaidii
ni ugonjwa huu utaleta kifo
 
Kabisa, na kuna dalili za kutosha kuonyesha uchumi wa nchi umeyumba sana katika hii miezi kumi ya sera za kukurupuka na mwendo kasi, lakini wenyewe watakwamba "Mapato yanayokusanywa na TRA yameongezeka"

Wanajitekenya wenyewe na kujichekesha wenyewe
 
Back
Top Bottom