Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,416
- 4,872
acha kupotosha umma! nani kakwambia ukabila ndio sifa ya kuajiriwa tanzania! u re competant ndio mpango mzima,wewe kama hauwezi ushindani uliopo kaa kimyaa ndugu! waache wenye uwezo wakapambane huko kwenye usahili! sisi wengine tusubiri zamu best of luck all interviewer!Ngoja mkurugenzi wa tra aondoke abadili mnyakyusa ndipo nionbe