TRA Posts........

Ngoja mkurugenzi wa tra aondoke abadili mnyakyusa ndipo nionbe
acha kupotosha umma! nani kakwambia ukabila ndio sifa ya kuajiriwa tanzania! u re competant ndio mpango mzima,wewe kama hauwezi ushindani uliopo kaa kimyaa ndugu! waache wenye uwezo wakapambane huko kwenye usahili! sisi wengine tusubiri zamu best of luck all interviewer!
 
acha kupotosha umma! nani kakwambia ukabila ndio sifa ya kuajiriwa tanzania! u re competant ndio mpango mzima,wewe kama hauwezi ushindani uliopo kaa kimyaa ndugu! waache wenye uwezo wakapambane huko kwenye usahili! sisi wengine tusubiri zamu best of luck all interviewer!

Interview nabamiza sana ila tatizo mi mnyakyusa nakosa
 
ACHA UZUSHI. TRA wametumia online application, system imesort out the candidates na hao ndiyo ambao wameitwa. Kama uliapply vibaya usilete visingizio na ngojera ambazo zimepitwa na wakati. TRA ina wafanya kazi 3,000 na hao unaowaita akina shayo ni asilimia ndogo sana. Stereotyping people is sinful.
 
Interview nabamiza sana ila tatizo mi mnyakyusa nakosa
hapana unakosea kusema hivyo mkuu! ila jifunze kuwatakia wenzio heri mambo yao yakiwa mazuri,sio kuanza kuongea uzushi na kupotosha watu!

alafu jiamini kuwa unaweza ila wakati wako ujafika
 
Ni muhimu afatilie maana wanataka uende na barua ya invitation na ipo kwenye e mail wanayokutumia
 
hapana unakosea kusema hivyo mkuu! ila jifunze kuwatakia wenzio heri mambo yao yakiwa mazuri,sio kuanza kuongea uzushi na kupotosha watu!

alafu jiamini kuwa unaweza ila wakati wako ujafika

Ukweli unabaki pale pale TRA wachaga wamejimilikisha
 
kila alie omba kaitwa muraaaaaaaaaaaaaaa ili mradi una 3.5 na interview ya kwanza ni mtihani muraaaaaaaaaaaa ila kama ulivo elezwa hapo juu kama huna asili we pumzika hukohuko tu,pale ni kichalii zaidi,kama hutaki njoo uone. Mi mdogo wangu kaitwa yuko tarime nimemwambia asije muraaaaaaaaaaaaa,kwani hawa jamaa ni wasagani sana muraaaaaaaaaaaa
 
Msiwe mambumbu nyie watu,
TRA kwanza huwa hawafanyi interview wanatoa tenda tu kama NBAA, mzumbe, mlimani etc. Hao waliopewa tenda ndio wanafanya usaili na kupeleka majina TRA.
kama unaweza unaweza tu, kujuana ni % ndogo saaana
 
Asanteni kwa michango yenu;
Kwanza nnacho kiona hp ni tatizo la ukabila na kwa comments na majibizano yenu, watu wa kabila flani hapa ni wengi.
"Tusigeuze ukweli kuwa uadui" hivi mnaijua hio Taasisi na walioijaza ndani yake?? Msigombane
Pili ni kuwa japo mnapinga hakuna upendeleo, kwa kigezo kuwa wana hire private instit. Kuwa interview basi endelea kuamini hivo ili uishi bila kupata presha.
Tatu, ningewaomba hao wasio wa hilo kabila mlitajalo kuwa msikate tamaa, watafanya lkn ipo siku haya yatakuwa hadharani. Nendeni hio tar 04 pigen ppr, mara nyingi ni ppr 3. Incase of anything PM
 
kila alie omba kaitwa muraaaaaaaaaaaaaaa ili mradi una 3.5 na interview ya kwanza ni mtihani muraaaaaaaaaaaa ila kama ulivo elezwa hapo juu kama huna asili we pumzika hukohuko tu,pale ni kichalii zaidi,kama hutaki njoo uone. Mi mdogo wangu kaitwa yuko tarime nimemwambia asije muraaaaaaaaaaaaa,kwani hawa jamaa ni wasagani sana muraaaaaaaaaaaa

sio kweli kila aliyeomba mwenye 3.5 kaitwa. Mi nafaham watu watatu hawajaitwa na wana 4+ na wametoka chuo kimoja tena cha tra-ita
 
Walikua wako stickly na mwaka uliomaliza chuo hasa 2010 onwards ila kama ulimalizaa kaa mm 2009 hawajaita kabisa

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom