Tarehe 1/4/2011 ofisa wa TRA Mbeya aitwaye Kasimba alikamata gari ya hakimu Nyasige likiwa na mwanamke aliyepewa rifti na hakimu huyo akiwa na vipodozi vya tshs 148,000/= hakimu huyo alikuwa na tshs 25,000,000/= ambazo alikuwa anapeleka benki. Ndani ya gari hiyo TRA wakiwa na polisi mkoani Mbeya walitaka wapewe rushwa kutoka kwa hakimu huyo, lakini mwenye vipodozi akakiri kuwa mzigo ni wake na hakimu hahusiki.
Polisi na maofisa TRA wakamnyang'anya hakimu huyo gari na kulipeleka kwenye ofisi za tra kwa upekuzi ambapo walipora pesa tshs 25m na kumufungulia hakimu kesi na 72/2011 mahakama ya wilaya mby.
Baada ya kesi hiyo kusomwa , bi Zena Mwakamela alijitokeza kumuwekea dhamana hakimu akatoka.
Baada ya hakimu kuanza kudai fedha yake 25m, tra na rco mby wakafanya njama ya kumuwekea tena hakimu huyo vipodozi ili akamatwe kwa mara ya pili.
Polisi walimtuma dereva wa tra aitwaye dominic mwaisumbi na kwenda kumuhonga mdhamini wa hakimu (zena) na kumupa fedha 200,000 akaenda kununua vipodozi na kumuwekea hakimu huku akiwasiliana na polisi Mbeya ofisi ya RCO.
Polisi walimpa maelekezo zena kuwa akiweka vipodozi asipande gari hiyo lakini yeye alikosea na kukamatwa kwa mara ya pili akiwa na hakimu.
Zena na hakimu walipelekwa rumande gereza la ruanda mby na hakimu akakosa dhamana, baada ya kupata mateso Zena akaamua kuandika maelezo ya kweli juu ya umafia wa polisi na TRA na njama za kumutuma kumuwekea vipodozi.
Baada ya kukiri mbele ya mahakama akapewa faini ya 600,000/= na TRA wakamulipia kwa siri akatoka rumande . Sasa jambo la kushangaza polisi bado wanamshikiria hakimu kwa visa huku wamepora fedha yake.
RCO Mbeya ameweka msimamo wa kumnyima dhamana hadi leo.
Polisi na maofisa TRA wakamnyang'anya hakimu huyo gari na kulipeleka kwenye ofisi za tra kwa upekuzi ambapo walipora pesa tshs 25m na kumufungulia hakimu kesi na 72/2011 mahakama ya wilaya mby.
Baada ya kesi hiyo kusomwa , bi Zena Mwakamela alijitokeza kumuwekea dhamana hakimu akatoka.
Baada ya hakimu kuanza kudai fedha yake 25m, tra na rco mby wakafanya njama ya kumuwekea tena hakimu huyo vipodozi ili akamatwe kwa mara ya pili.
Polisi walimtuma dereva wa tra aitwaye dominic mwaisumbi na kwenda kumuhonga mdhamini wa hakimu (zena) na kumupa fedha 200,000 akaenda kununua vipodozi na kumuwekea hakimu huku akiwasiliana na polisi Mbeya ofisi ya RCO.
Polisi walimpa maelekezo zena kuwa akiweka vipodozi asipande gari hiyo lakini yeye alikosea na kukamatwa kwa mara ya pili akiwa na hakimu.
Zena na hakimu walipelekwa rumande gereza la ruanda mby na hakimu akakosa dhamana, baada ya kupata mateso Zena akaamua kuandika maelezo ya kweli juu ya umafia wa polisi na TRA na njama za kumutuma kumuwekea vipodozi.
Baada ya kukiri mbele ya mahakama akapewa faini ya 600,000/= na TRA wakamulipia kwa siri akatoka rumande . Sasa jambo la kushangaza polisi bado wanamshikiria hakimu kwa visa huku wamepora fedha yake.
RCO Mbeya ameweka msimamo wa kumnyima dhamana hadi leo.