TRA, NIDA na TCRA zishirikiane

Kilele9

JF-Expert Member
Jun 1, 2017
1,452
1,091
Viongozi na wataalamu wa TRA, TCRA na NIDA shirikianeni msiwe kama mpo nchi tofauti. Inavyoonekana hamuishauri serikali ipasavyo kwa kutokushirikiana kwenu.

Serikali inapata kiasi kikubwa cha fedha kama kodi kupitia miamala inayofanyika kupitia mitandao ya simu. Kufungwa kwa laini za simu hata kwa siku moja tu nina imani serikali itapoteza mapato yake.

Kuandikisha uraia na kununua line za simu ni mambo endelevu sioni sababu ya kuwapa wananchi taharuki ya kukimbizana na hiyo tarehe (20/01/2020).

Taharuki hiyo ambayo inaweza kutumiwa na matapeli kuharibu zoezi lote.
 
Uharaka huu utazaa katoto rushwa,katoto hako katanyima haki wanyonge na ni watu wa level fulani ndio watasajiliwa kwa masaa tu,badala ya siku 7atakazotumia mnyonge kukipata kitambulisho au namba yake.
 
Kilele9

Wizara ya Mambo ya ndani, uhamiaji, Passport, driving license, zitambulike kama vibali vya ukweli kupata laini ya simu, zoezi liwe endelevu, sababu NIDA wanasuasua.

Tunakosea kuwaadhibu wananchi kwa makosa ta NIDA. Hatutendi haki. Tujikite kwenye haki, fairness, tukizingatia uwezo wa taasisi zetu kutoa huduma.
 
Kilele9

Wizara ya Mambo ya ndani, uhamiaji, Passport, driving license, zitambulike kama vibali vya ukweli kupata laini ya simu, zoezi liwe endelevu, sababu NIDA wanasuasua.

Tunakosea kuwaadhibu wananchi kwa makosa ta NIDA. Hatutendi haki. Tujikite kwenye haki, fairness, tukizingatia uwezo wa taasisi zetu kutoa huduma.
Sababu izo zote ni documents za Serikali na zinatolewa na wao wenyewe na zote tumetia fingerprints
 
Kilele9

Wizara ya Mambo ya ndani, uhamiaji, Passport, driving license, zitambulike kama vibali vya ukweli kupata laini ya simu, zoezi liwe endelevu, sababu NIDA wanasuasua.

Tunakosea kuwaadhibu wananchi kwa makosa ta NIDA. Hatutendi haki. Tujikite kwenye haki, fairness, tukizingatia uwezo wa taasisi zetu kutoa huduma.

paspoti na leseni za udereva zina taarifa muhimu sawa (pengine zaidi) na vitambulisho vya NIDA hivyo ni sahihi kutumika kusajili line za simu
 
Viongozi na wataalamu wa TRA, TCRA na NIDA shirikianeni msiwe kama mpo nchi tofauti. Inavyoonekana hamuishauri serikali ipasavyo kwa kutokushirikiana kwenu.

Serikali inapata kiasi kikubwa cha fedha kama kodi kupitia miamala inayofanyika kupitia mitandao ya simu. Kufungwa kwa laini za simu hata kwa siku moja tu nina imani serikali itapoteza mapato yake.

Kuandikisha uraia na kununua line za simu ni mambo endelevu sioni sababu ya kuwapa wananchi taharuki ya kukimbizana na hiyo tarehe (20/01/2020).

Taharuki hiyo inaweza kutumiwa na matapeli kuharibu zoezi lote.
Sio hau tu yaani kuna
TRA, Migration,RITA,mifuko ya jamii nssf etc,NIDA yaani hapa naona kuna nchi kama tano ndani ya nchi moja.
Taarifa za NIDA ilitakiwa zitumike kote sasa wao kila mtu anataka kutengeneza database zao na ni usumbufu mkubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilele9

Wizara ya Mambo ya ndani, uhamiaji, Passport, driving license, zitambulike kama vibali vya ukweli kupata laini ya simu, zoezi liwe endelevu, sababu NIDA wanasuasua.

Tunakosea kuwaadhibu wananchi kwa makosa ta NIDA. Hatutendi haki. Tujikite kwenye haki, fairness, tukizingatia uwezo wa taasisi zetu kutoa huduma.

TCRA waweke wazi idadi ya line ambazo hazijasajiliwa nao NIDA waseme uwezo wao wa kukamilisha vitambulisho ili nyongeza ya siku za Mheshimiwa Rais ziwe za uhakika
 
Back
Top Bottom