malogi1976
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 297
- 168
Nyie TRA ni kiboko yani wamekuja hotelini na kuuliza wateja wangapi wamelala nikawaambia na kuwaonesha kitabu mpaka hapo sawa baada ya hapo leta Risiti nikawaambia wateja hulipa siku wanayotoka mara napewa barua na maofisa kwa kosa la kutotowa Risiti.
Kwanini mnakuwa waonevu nikaenda the next day kuripoti na kumuona ofisa mwingine naye akawa anashangaa wakati mteja hulipa siku ya kutoka hotelini. Kwa kweli TRA hawasikilizi mtu na hii ni too much Kwa kweli.
Tunaomba mtueleweshe kuhusu hili jambo kwa ufasaha na kama mtu mwingine amekumbwa na hili naomba atuambie.
Kwanini mnakuwa waonevu nikaenda the next day kuripoti na kumuona ofisa mwingine naye akawa anashangaa wakati mteja hulipa siku ya kutoka hotelini. Kwa kweli TRA hawasikilizi mtu na hii ni too much Kwa kweli.
Tunaomba mtueleweshe kuhusu hili jambo kwa ufasaha na kama mtu mwingine amekumbwa na hili naomba atuambie.