TRA ni kiboko sasa

TRA ni kiboko sasa

labda walikuwa wanakusanya bednight levy... kila kichwa hotel above 3 star(kama nipo sahii) wanatakiwa 1.5 usd per night iende TRA...ila hotel chache sana ndio zinapeleka nyingi zinakwepa
niliisoma hii sheria 2014 ila sehemu nyingi haitumiki
 
labda walikuwa wanakusanya bednight levy... kila kichwa hotel above 3 star(kama nipo sahii) wanatakiwa 1.5 usd per night iende TRA...ila hotel chache sana ndio zinapeleka nyingi zinakwepa
niliisoma hii sheria 2014 ila sehemu nyingi haitumiki
 
Mtoa habari wakati mwingine uwe unafikiria kabla hujaleta Uzi. Hivi wapi Tanzania hii wakuache ulale eti siku ya kuondoka ndiyo ulipe? Tusidanganyane kama wazee wa kodi wamekudaka basi tulia dawa ikuingie.Bora Hata ungedanganya wachache bado. Nielekeze ni hoteli IPI nashida na roomvkwa short reason maana nategemea dili language litabuma baada ya masaa 2 nikimaliza ntakulipa.

Inategemea na hotel unazo lala wewe ila umesema ni short time basi hizo zitakuwa zile za elfu nne. Lakini kitu kinachoitwa hotel unalipa siku unaondoka tena watu tumekaa hadi wiki mwezi lakini tunalipa siku ya kusepa. We sema tu huwa unalala hotel/lodge za aina gani?
 
Mtoa habari wakati mwingine uwe unafikiria kabla hujaleta Uzi. Hivi wapi Tanzania hii wakuache ulale eti siku ya kuondoka ndiyo ulipe? Tusidanganyane kama wazee wa kodi wamekudaka basi tulia dawa ikuingie.Bora Hata ungedanganya wachache bado. Nielekeze ni hoteli IPI nashida na roomvkwa short reason maana nategemea dili language litabuma baada ya masaa 2 nikimaliza ntakulipa.
Mbona hoteli nyingi tu mimi nalipa siku ninayoondoka
 
Ningekuwa nimedakwa nisingeandika na hawajanifungulia kesi wameiacha wenyewe waliangalia vyumbani wapo ngapi na kwenye kitabu wapo wangapi kwahiyo nisingeandika Kama nimedakwa ni sababu sitaki usumbufu wakati manager wao anasema mteja alipe akiwa anaondoka! Kama umewahi lala hotel utaelewa
Wanaokushangaa wanafikiri Hotels zote ni kama zile Guest House za Sinza. Usiwalaumu.
 
Mwenzangu nilienda Na kumwambia meneja Ili watuelimishe naye akasema nyie nendeni hamtasumbuliwa tena sielewi tatizo humu wengine wanafikiri Kila mtu hataki lipa Kodi sidhani Kama ni wafanya biashara Hawa watu tunataka kuelimishwa na tra Mtu anasema nimekamatwa watanzania Kila kitu kuweka negativity aisee
Kitu nilichogundua mabosi TRA hawana shida, shida iko kwa hawa watu wa chini. Wanalazimisha mazingira ya rushwa. Na unakuta wamejaa hata humu JF kutwa nzima kuponda serikali.
 
Inategemea na hotel unazo lala wewe ila umesema ni short time basi hizo zitakuwa zile za elfu nne. Lakini kitu kinachoitwa hotel unalipa siku unaondoka tena watu tumenakaa hadi wiki mwezi lakini tunalipa siku ya kusepa. We sema tu huwa unalala hotel/lodge za aina gani?
haaaaaa sh4000 unenichekesha ila kweli hizo hata id huonyeshi maana unaingia kwa kujificha ficha sasa hawajui mambo ya hotel
 
Nyie TRA ni kiboko yani wamekuja hotelini na kuuliza wateja wangapi wamelala nikawaambia na kuwaonesha kitabu mpk hapo sawa baada ya hapo leta Risiti nikawaambia wateja hulipa siku wanayotoka mara napewa barua na maofisa kwa kosa LA kutotowa Risiti. Kwanini mnakuwa waonevu nikaenda the next day kuripoti na kumuona ofisa mwingine Naye akawa anashangaa wakati mteja hulipa siku ya kutoka hotelini.kwa kweli tra hawasikilizi mtu na hii ni too much Kwa kweli. Tunaomba mtueleweshe kuhusu hili jambo Kwa ufasaha na Kama mtu mwingine amekumbwa na hili naomba atuambie

Hamia Nchi jirani achana na hao matahira
 
Mashine zenyewe za efd siku 3 sasa zinasumbua network hata z report hazitoi....waambie hao watu wa tra wakuonyeshe sheria ya hotel na huduma inayosema utoe risiti kabla mteja hajafanya chekout...wakikutisha wanaandika faini waambie sawa andikeni halafu hakuna kulipa
Duh nimeipeleka mashine kwa supplier asubuhi hii, nilijua ina matatizo. Maanake TRA wakija wakikuta hujatuma au kutoa risiti watakupiga faini kumbe kosa lao wao.
 
Duh nimeipeleka mashine kwa supplier asubuhi hii, nilijua ina matatizo. Maanake TRA wakija wakikuta hujatuma au kutoa risiti watakupiga faini kumbe kosa lao wao.
Na shida iko wapi wanaingia kiubabe wanasahau wengine tunalipa kodi sio wote ni wabaya ni umkamate mtu na kosa ndo wafanye ubabe wao ni shida..na hapo wangekuachia barua kuwa hutumii mashine kumbe ipo na tatizo
 
Nyie TRA ni kiboko yani wamekuja hotelini na kuuliza wateja wangapi wamelala nikawaambia na kuwaonesha kitabu mpk hapo sawa baada ya hapo leta Risiti nikawaambia wateja hulipa siku wanayotoka mara napewa barua na maofisa kwa kosa LA kutotowa Risiti. Kwanini mnakuwa waonevu nikaenda the next day kuripoti na kumuona ofisa mwingine Naye akawa anashangaa wakati mteja hulipa siku ya kutoka hotelini.kwa kweli tra hawasikilizi mtu na hii ni too much Kwa kweli. Tunaomba mtueleweshe kuhusu hili jambo Kwa ufasaha na Kama mtu mwingine amekumbwa na hili naomba atuambie
Kwani ni lazima mmiliki biashara za maduka na Hotel ambazo TRA wanawafuata? fanyeni na biashara zingine tuone TRA watakula wapi.
 
Poleni sana...

Inabidi mbadilishe utaratibu...

Hotel nyingi sana kama siyo zote, ukishafanya booking unalipia kabisa hizo siku ulizosema utakaa hapo hotelini na receipt unapata, endapo utaongeza siku, unatoa taarifa na kulipia tena...

Katika hotel zote nilizokwisha kaa, sijawahi ona ambayo unalipia siku ya ku-check out... extra services zozote ulizotumia ndiyo bill unapewa siku ya kutoka, kama ulitumia simu, ulitumia vinywaji ulivyokuta kwenye friji...


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom