Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,448
- 4,985
labda walikuwa wanakusanya bednight levy... kila kichwa hotel above 3 star(kama nipo sahii) wanatakiwa 1.5 usd per night iende TRA...ila hotel chache sana ndio zinapeleka nyingi zinakwepa
niliisoma hii sheria 2014 ila sehemu nyingi haitumiki
niliisoma hii sheria 2014 ila sehemu nyingi haitumiki