malogi1976
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 297
- 168
- Thread starter
- #41
Nimekuelewa ila mi naona wangetowa au tangaza kuwa utaratibu ni huu ili hata wateja waliozowea kulipa siku ya kuondoka wawe wanaelewa kuwa ni kulipa kwanza maana kuna waliozowea vinginePoleni sana...
Inabidi mbadilishe utaratibu...
Hotel nyingi sana kama siyo zote, ukishafanya booking unalipia kabisa hizo siku ulizosema utakaa hapo hotelini na receipt unapata, endapo utaongeza siku, unatoa taarifa na kulipia tena...
Katika hotel zote nilizokwisha kaa, sijawahi ona ambayo unalipia siku ya ku-check out... extra services zozote ulizotumia ndiyo bill unapewa siku ya kutoka, kama ulitumia simu, ulitumia vinywaji ulivyokuta kwenye friji...
Cc: mahondaw