MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,358
- 1,324
Inaelekea Wewe Ni Mgeni Kwenye Uagizaji Wa Magari, Yaani Ushuru Unakua Ni Zaidi Ya Bei Ya Kununulia Gari, Tena Hata Hiyo Calculator Usiiamini, Nenda Ofisi za TRA Physically, Wakupigie Wenyewe Mahesabu Yao, Hiyo Mil 12 ya Ushuru Inabadilika Inakua Mil 16Leo nimekuwa nikipitia tovuti ya TRA na hasa ile sehemu ambayo unawezakukokotoa kiasi cha ushuru (Tax) utakachopaswa kulipia kama ukiagizia gari toka nje ya nchi (Japan kwa mfano), nimeshangaa kuona makadirio yao ni makubwa mno.
Mfano gari ndogo Toyota Avensis ya mwaka 2010 ambayo CIF (cost, insurance and freight) yaani bei yake mpaka bandarini Dar kabla ya kulipia ushuru ni USD 5600 (TZS 12,769,535) hii calculator yao inaniambia nitalipia ushuru wa TZS milioni 10.2, Hivi ni kwa nini? Yaani gari ninunue milioni 12.8 kisha ushuru nilipie milioni 10.2? asilimia 80?
Hiki ni kiwango kikubwa sana kwa mawazo yangu, lengo lao ni kuwa-discourage watu wasinunue magari? Ama kuna kitu sielewi? Kuna wanaojua ukweli wa haya mambo? Tafadhali nipeni elimu kidogo!
View attachment 789250