macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 29,223
- 60,289
Kama magari kutoka UK yanafanyiwa ukaguzi wa nini wakati yanakuwa yameshafanyiwa? Ni ufisadi uliokubuhu. Halfu mbaya zaidi ni kuwa hizi kampuni hakuna ukaguzi wowote wanaofanya ila wanakusanya fedha tuchilisosi
Kodi za magsri ni Maumivu sana kwa Watanzania, kodi ni.kubwa sana, imefikia hatua kununua gari kwa Mtanzania ni km adhabu???
Bunge na serikali lazima walitazame hilo...halafu ajabu ni kwamba ukiagiza gari nje na ukinunua bei hapa kwetu ni karibu bei sawa
Kuna habari kuwa hawa jamaa wanaouza magari kwny showroom kuna michezo huwa wanafanya TRA kukwepa kodi ndio maana kodi inafanana na anaeagiza nje moja kwa moja!
Ndugu yangu kuna jamaa alinunua escudo new model mil 15 kodi ikaja mil 30
Ni wizi na unyonyaji, ukaguzi wanaoufanya ni sawa na ule unaofanywa na garage za kawaida (MOT) kwa ?40 lakini wao wanachaji $200.
Kwa huyu alipata ile tenda?chilisosi
si ndio hayo macontena yalikuwa yanapita bila kodi halafu wao humu ndani wanayawekea kodi
Wakuu inawezekana tunalipa ushuru mkubwa sana, na hivyo serikali inapaswa itusikilize. Lakini pia jaribu kulinganisha ushuru walipao wenzetu Kenya kwa kutumia calculator ya Tanzania, na Kenya. Inaonesha Kenya wanalipia maradufu.Hawa jamaa wamepandisha ushuru wa kuingiza magari kumbe nao ni wizi tu. Unanunua gari mill 7 ushuru TRA unalipa mil 20. Huu ni uwendawazimu kabisa. Haiingii akilini.
Ndugu yangu fanya utafiti. Magari yapo kwenye mitandao na TRA calculator ipo kwa weside yao. This is the plain truth. Kodi zipo juu mnoooo
Mkuu usiamini kila caption ya picha. Ni kawaida sana mtu kusafirisha gari, hasahasa toka Ulaya kwa kujaza na vifaa vyake kwenye container. Container husaidia sana kukwepa kuibiwa vitu. Lakini kuweka gari kwenye container haimaanishi halitoonwa, labda muamue kutoliona tu, ambapo kutoliona si lazima lifichwe kwenye container.Ni kweli mkuu, kwny moja ya zile containers inaonekana range rover vogue ikiwa imefichwa kwa kufunikwa na fenicha za ndani!
Ni ngumu sana kushindana na watu wa aina hii!😉
Dadavua hilo la TBS na tenda za kifisadi!?Kuna jipu moja baya sana watanzania wanaomba mheshimiwa Magufuli alitumbue. Shirika la viwango la Tanzania (TBS) wametoa tenda za kifisadi kwa makampuni yenye utata kukagua magari yanayoingizwa Tanzania huku wakitoza ada ambazo hazina mguu wala kichwa.
Kiuhasilia hizi tenda zilitolewa kwa njia ya rushwa na hizi kampuni hazifanyi ukaguzi wa aina yoyote. Mheshimiwa sana rais Magufuli tunaomba utuondolee huu ufisadi.
Ilikua ya mwaka gani?
Otherwise tuanze kupitishia mombasa tu sasa.
Sawa mkuu Mlaleo. Ila issue hizo standards zilizowekwa ni za kinyonyaji. Halafu unvyoongelea magari mapya jua pia kwamba kodi ya gari jipya ni juu mno. Better used. Anyway issue kubwa ni hawa watu wafikirie namna ya kupitia upya hii sheria. Waweke ushabiki wa kisiasa pembeni na wafanye kwa maslahi mapana ya taifa.Kodi zipo kisheria kutokana na uchakavu wa gari lenyewe au la kifahari n.k so sio kusema gari m7 kodi 20m griiiii! it dependi gari yako either umepewa zawadi au umenunua kwa mtu mwenye shida kakuuzia kwa bei poa au umenunua kwa bei ya offer is up to you huku tushawekewa standard yetu hizo hizo gari ukiuziwa kwa bei juu kuliko kodi itakuwa ni ile ile kwa mwenzako aliyeuziwa kwa bei ya offer au zawadi.... tuwe wawazi sio kuponda kwa kupitiliza.... la muhimu tuombe kupunguziwa kodi na wabunge wetu ndio waliotunga.... na tuache kununua mitumba tuzoee vipya au hamjui ni raha magari mabovu ni sawa na jini litakunyonya hakika
Wakuu inawezekana tunalipa ushuru mkubwa sana, na hivyo serikali inapaswa itusikilize. Lakini pia jaribu kulinganisha ushuru walipao wenzetu Kenya kwa kutumia calculator ya Tanzania, na Kenya. Inaonesha Kenya wanalipia maradufu.
Tanzania Revenue Authority - Calculators & tools
KRA Motor Vehicle Import Duty Calculator
Kodi zipo kisheria kutokana na uchakavu wa gari lenyewe au la kifahari n.k so sio kusema gari m7 kodi 20m griiiii! it dependi gari yako either umepewa zawadi au umenunua kwa mtu mwenye shida kakuuzia kwa bei poa au umenunua kwa bei ya offer is up to you huku tushawekewa standard yetu hizo hizo gari ukiuziwa kwa bei juu kuliko kodi itakuwa ni ile ile kwa mwenzako aliyeuziwa kwa bei ya offer au zawadi.... tuwe wawazi sio kuponda kwa kupitiliza.... la muhimu tuombe kupunguziwa kodi na wabunge wetu ndio waliotunga.... na tuache kununua mitumba tuzoee vipya au hamjui ni raha magari mabovu ni sawa na jini litakunyonya hakika
Ni watu wangapi wa kawaida wanaweza Kumudu kununua gari jipya?Lawama kubwa ziende kwa wabunge especially wa ccm (ndo kwa wingi wao)wangeweza kabisa kuzuia dhuluma hii ovu.TRA tunawalaumu bure,wanatekeleza sheria.Kodi zipo kisheria kutokana na uchakavu wa gari lenyewe au la kifahari n.k so sio kusema gari m7 kodi 20m griiiii! it dependi gari yako either umepewa zawadi au umenunua kwa mtu mwenye shida kakuuzia kwa bei poa au umenunua kwa bei ya offer is up to you huku tushawekewa standard yetu hizo hizo gari ukiuziwa kwa bei juu kuliko kodi itakuwa ni ile ile kwa mwenzako aliyeuziwa kwa bei ya offer au zawadi.... tuwe wawazi sio kuponda kwa kupitiliza.... la muhimu tuombe kupunguziwa kodi na wabunge wetu ndio waliotunga.... na tuache kununua mitumba tuzoee vipya au hamjui ni raha magari mabovu ni sawa na jini litakunyonya hakika