TRA na Serikali iwamulike hawa Wamisri na Waturuki wanaouza vyombo majumbani

Rufiji dam

JF-Expert Member
Feb 20, 2020
3,804
8,796
Kuna watu watakuja na kauli za kukebehi juu ya bandiko langu. Nimeweza kubahatika kutembea baadhi ya nchi za wenzetu na kujionea mambo tofauti kabisa na hapa kwetu.

Hivi karibuni jijini Dar es Salaam kumeibuka raia wa kigeni hasa kutoka Misri na Uturuki wanauza vyombo majumbani kwa njia ya kukopesha kwa miezi mitatu.

Mfano unaweza kununua kwa mkopo set nzima ya vyombo kwa kiasi cha Tshs. 500,000 kwa muda wa miezi mitatu yaani kila mwezi anakuja kuchukia Tshs. 150,000 kumbuka hakupi risti ya EFD.

Kuna siku wamemuuzia mama mmoja microwave kwa Tshs. 450,000 nilivyoenda Kariakoo kinauzwa kwa 200,000. Shida sio bei tabu yao hawa ni wezi hawatoi risiti kuna siku nimewaambia wanikopeshe wakakataa maana wangekubali tu ingekula kwao.

Mbaya zaidi wanatembezwa mitaani na Wabongo wenzetu. TRA wafuatilieni hawa Wamisri hii biashara ya kukopesha nakumbuka ilikuwa inafanywa na Waha.
 
Kuna watu watakuja na kauli za kukebehi juu ya bandiko langu. Nimeweza kubahatika kutembea baadhi ya nchi za wenzetu na kujionea mambo tofauti kbs na hapa kwetu.

Hivi karibuni jijini Dar es Salaam kumeibuka raia wa kigeni hasa kutoka Misri na Uturuki wanauza vyombo majumbani kwa njia ya kukopesha kwa miezi mitatu.

Mfano unaweza kununua kwa mkopo set nzima ya vyombo kwa kiasi cha Tshs. 500,000 kwa muda wa miezi mitatu yaani kila mwezi anakuja kuchukia Tshs. 150,000 kumbuka hakupi risti ya EFD.

Kuna siku wamemuuzia mama mmoja micro wave kwa Tshs. 450,000 nilivyoenda Kariakoo kinauzwa kwa 200,000. Shida sio bei tabu yao hawa ni wezi hawatoi risiti kuna siku nimewaambie wanikopeshe wakakataa maana wangekubali tu ingekula kwao.

Mbaya zaidi wanatembezwa mitaani na wabongo wenzetu. TRA wafuatilieni hawa Wamisri hii biashara ya kukopesha nakumbuka ilikuwa inafanywa na Waha.

Una maana serikali hii hii ambayo vinara wake yenyewe hawalipi hata ndururu?

Au nasema uongo ndugu zangu?

Kodi wewe hulipi ujasiri wa kuhamasisha wengine walipe unautoa wapi kama si ujambazi ujambazi tu?
 
Una maana serikali hii hii ambayo vinara wake yenyewe hawalipi hata ndururu?

Au nasema uongo mpz?

Kodi wewe hulipi ujasiri wa kuhamasisha wengine walipe unajitoa wapi kama si ujambazi ujambazi tu?
Mimi nalipa kodi na mpaka hivi naleta haya najisikia vibaya sisi wazawa tunakabwa makoo mpaka akaunti zetu zinazuiwa ila kuna wajanja wanaiba hela. Unadhani ujanja wa mkwepa kulipa kodi mtanzania na mkwepa kodi mgeni nani anaumiza nchi.
 
Kuna siku wamemuuzia mama mmoja microwave kwa Tshs. 450,000 nilivyoenda Kariakoo kinauzwa kwa 200,000
You might be right. Bei zao ni kubwa sana. Jiko plate tatu ni laki 2! Tena kwa kisingizio cha selium from Germany! wakati ni madudu toka kwao Egypt na Turkey! Washenzi wakubwa
 
Mkuu nadhani unawazungumzia wauza vyombo vya selim, sijajua kwenye swala la kodi ila kuhusu vyombo vyao bei ni standard Africa nzima, kama kuna sehemu kariakoo vipo selim original tupe Direction za hilo chimbo maana nilitaka nichukue mzigo mwingine kwa Mwarabu, itanipunguzia ukali wa Maisha.
 
Mfano unaweza kununua kwa mkopo set nzima ya vyombo kwa kiasi cha Tshs. 500,000 kwa muda wa miezi mitatu yaani kila mwezi anakuja kuchukia Tshs. 150,000 kumbuka hakupi risti ya EFD.

Kuna siku wamemuuzia mama mmoja microwave kwa Tshs. 450,000 nilivyoenda Kariakoo kinauzwa kwa 200,000. Shida sio bei tabu yao hawa ni wezi hawatoi risiti kuna siku nimewaambia wanikopeshe wakakataa maana wangekubali tu ingekula kwao.
Walishakusoma in advance kuwa wewe si mtu sahihi kufanya nao biashara
 
Kuna watu watakuja na kauli za kukebehi juu ya bandiko langu. Nimeweza kubahatika kutembea baadhi ya nchi za wenzetu na kujionea mambo tofauti kabisa na hapa kwetu.

Hivi karibuni jijini Dar es Salaam kumeibuka raia wa kigeni hasa kutoka Misri na Uturuki wanauza vyombo majumbani kwa njia ya kukopesha kwa miezi mitatu.

Mfano unaweza kununua kwa mkopo set nzima ya vyombo kwa kiasi cha Tshs. 500,000 kwa muda wa miezi mitatu yaani kila mwezi anakuja kuchukia Tshs. 150,000 kumbuka hakupi risti ya EFD.

Kuna siku wamemuuzia mama mmoja microwave kwa Tshs. 450,000 nilivyoenda Kariakoo kinauzwa kwa 200,000. Shida sio bei tabu yao hawa ni wezi hawatoi risiti kuna siku nimewaambia wanikopeshe wakakataa maana wangekubali tu ingekula kwao.

Mbaya zaidi wanatembezwa mitaani na Wabongo wenzetu. TRA wafuatilieni hawa Wamisri hii biashara ya kukopesha nakumbuka ilikuwa inafanywa na Waha.
Hao wanaondoka vibali vya kukaa vikiisha wanafahamu kupata Tena ni mbinde,ili wasipate hasara lazima waingie wenyewe mtaani .

Kibongobongo tunaona poa kukopeshwa bila kujua Kuna riba,, microwave nyingi hazizidi 250-350.kwakua tumezoea mikopo(akina mama)tunachukulia poa.
 
Back
Top Bottom