Papaa Kinyani
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 1,457
- 699
Ufala wako ndio kuliwa kwako, kwa nn hukuwaliza hapo hapo? Hapa nani atakusaidia fala ww?
Waganga wameshachukua chao. Kamwe hawatakubali kurudisha chenji baada ya wewe kuondokaDa sijui niwafuate j3 wakanirudishie chenji yangu
Hukagui receipt?
Tayari mkuu ushaingizwa Posta Mpya.
Post sent using JamiiForums mobile app
Uliuliza kuisaidia nchi yako?
@TRA na sehemu zingine nyeti, bado majizi yapo, msifikirie wanaogopa hao, sasa wamejuwa dola imewashutukia, wamekimbilia kwa raia sasa, tuwe makini wakuuBaada ya kukaa mda mrefu kwenye foleni takribani masaa 5 nikafanikiwa kuingia ndani ya ofisi za TRA cha ajabu nilipofika kuhudumiwa nikaambiwa kwa thamani ya jengo unaloishi inabidi utoe kodi ya Tsh 27000.
Nikaingia mfukoni nikatoa Tsh30000 nikarudishiwa elfu 3000 cha ajabu nikiangalia risiti niliyopewa inaonyesha nmelipa elfu 15000 kwaiyo takribani elfu 12000 haipo katika risiti sasa wanandugu je hapa sijaingizwa mjini na hawa TRA ?
Duh mkuu wewe wamekupiga sana mm vyumba 3 sebule dining kwa 27000 na nka zulumiwa 12000MIE NYUMBA YA VYUMBA 3 NA SEBURE NIMELIPIA BENKI 36360 MPAKA SASA SIELEWI ELEWI AU NIMELIZWA ILA RESIT IKO SAWA YANGU
Mkuu kodi unayolipa unatajiwa palepale kuna watu wamelipa 20000,30000,40000 mpaka 5000,10000 yani wao ndo wanakuambia utoe Tsh ngapiUsiwatuhumu kwa ulaji ulipaswa kuisoma receipt palepale kabla ya kuondoka, pengine ni makosa ya kibinadamu tu.Nyumba ya kawaida ya block unalipia 15,000
Post sent using JamiiForums mobile app
Nmejifunza kutokana na makosa kesho naenda kulipa Ardhi ntakuwa makini SanaHiyo imeshakwenda tumboni mkuu,we iache tu ila usirudie tena siku nyingine,ingekuwaje kama ni Bank umediposit 20m halafu ukaja kukuta umeingiziwa 20,000/-wakati ndio umeshafika nyumbani?
Sony Z3
Huwenda baadhi ya watu wakawa wamezinduka kupitia Post hiiBadala ya kuuliza mtoa huduma wa TRA unakuja kuuliza JF,unapotezea watu muda na post zisizo na mashiko!
Post sent using JamiiForums mobile app
Nenda TAKUKURU watairudisha na nyongeza haoDa sijui niwafuate j3 wakanirudishie chenji yangu
Hapo umeingizwa Mkenge ndugu yangu, Risiti yenyewe ni ya Mwaka 2016.Ndugu wana jamvi awali ya yote ningependa kuwatakia Week End njema baada ya kuangaika na harakati za kutafuta riziki,
Labda niende kwenye mada moja kwa moja siku ya leo nilienda kulipa kodi ya majengo katika ofisi za TRA baada ya kusikia tangazo kuwa leo ndio siku ya mwisho ya kukusanya kodi ya majengo.
Baada ya kukaa mda mrefu kwenye foleni takribani masaa 5 nikafanikiwa kuingia ndani ya ofisi za TRA cha ajabu nilipofika kuhudumiwa nikaambiwa kwa thamani ya jengo unaloishi inabidi utoe kodi ya Tsh 27000.
Nikaingia mfukoni nikatoa Tsh30000 nikarudishiwa elfu 3000 cha ajabu nikiangalia risiti niliyopewa inaonyesha nmelipa elfu 15000 kwaiyo takribani elfu 12000 haipo katika risiti sasa wanandugu je hapa sijaingizwa mjini na hawa TRA ?
![]()
Sijui nende kesho ila nnamambo mengi bora niachane nao tu chamsingi ni kuwa makini wakati mengineNenda TAKUKURU watairudisha na nyongeza hao
Post sent using JamiiForums mobile app
Ila inaonyesha ilala wakati mm nko mkoani wizi mtupuHapo umeingizwa Mkenge ndugu yangu, Risiti yenyewe ni ya Mwaka 2016.
Kamata MIIZI MEEN....!! (Kwa Sauti ya Sharo Millionea) R.I.P
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Post sent using JamiiForums mobile app
Umeshapigwa mkuu daah poleNdugu wana jamvi awali ya yote ningependa kuwatakia Week End njema baada ya kuangaika na harakati za kutafuta riziki,
Labda niende kwenye mada moja kwa moja siku ya leo nilienda kulipa kodi ya majengo katika ofisi za TRA baada ya kusikia tangazo kuwa leo ndio siku ya mwisho ya kukusanya kodi ya majengo.
Baada ya kukaa mda mrefu kwenye foleni takribani masaa 5 nikafanikiwa kuingia ndani ya ofisi za TRA cha ajabu nilipofika kuhudumiwa nikaambiwa kwa thamani ya jengo unaloishi inabidi utoe kodi ya Tsh 27000.
Nikaingia mfukoni nikatoa Tsh30000 nikarudishiwa elfu 3000 cha ajabu nikiangalia risiti niliyopewa inaonyesha nmelipa elfu 15000 kwaiyo takribani elfu 12000 haipo katika risiti sasa wanandugu je hapa sijaingizwa mjini na hawa TRA ?
![]()
Ahsante mkuu Jana jamaa walipiga ela nyingi Sana kwa sababu wengi wa wananchi hawajui hata kusoma risitiUmeshapigwa mkuu daah pole
Ila Serikali imekosea sana haijatoa elimu kwa wananchiUnavyojenga vizuri ndivyo unavyolipa zaidi....Lipia ujenzi kadiri ulivyojenga...l u k u. . . .
Kuna fomu yao inaulizia aina ya aina ya tofali, sakafu, madirisha, paa na ceiling....wanaangalia kama kuna pavement, nyumba ya uani n.k , wengine makadirio yapo >100k...