TRA na kodi ya majengo ulaji mtupu

TRA na kodi ya majengo ulaji mtupu

Pigweni dili tu..huku kwetu ata umiliki kasri la ekar 5 tunalipa buku2!..cjawatuma mkimbilie huko

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mleta
Hongera bwana Ernest Mwakasege kwa kulipia kodi ya jengo!

666[/QUOT

Mketa topic acha unazi.hela ilivyo ngumu kupata wewe unatoa hata risiti hukagui.swali tutaamini vipi kama hujalipa 15000 unataka wapaka matope hao TRA.huu ni uzushi naona hujitambui siku nyingine hicho kiloba weka barafu upunguze makali
 
Hichi kirisiti hakijitoshelezi hakina jina la mtaa wala namba ya nyumbaa ningejua kwa foleni yote hhiyo ni kipande kisichojitosheleza wasingeniona
 
Ndugu wana jamvi awali ya yote ningependa kuwatakia Week End njema baada ya kuangaika na harakati za kutafuta riziki,

Labda niende kwenye mada moja kwa moja siku ya leo nilienda kulipa kodi ya majengo katika ofisi za TRA baada ya kusikia tangazo kuwa leo ndio siku ya mwisho ya kukusanya kodi ya majengo.

Baada ya kukaa mda mrefu kwenye foleni takribani masaa 5 nikafanikiwa kuingia ndani ya ofisi za TRA cha ajabu nilipofika kuhudumiwa nikaambiwa kwa thamani ya jengo unaloishi inabidi utoe kodi ya Tsh 27000.

Nikaingia mfukoni nikatoa Tsh30000 nikarudishiwa elfu 3000 cha ajabu nikiangalia risiti niliyopewa inaonyesha nmelipa elfu 15000 kwaiyo takribani elfu 12000 haipo katika risiti sasa wanandugu je hapa sijaingizwa mjini na hawa TRA ?

fb617030dff4fd546707a7942f6c0ab3.jpg
Acha uwongo na kuwakashifu bure watumishi wa TRA. Kama ni kweli, Ulishindwa nini kumwuuliza aliyekuhudumia sababu ya kukuandikia kiwango kidogo wakati ulilipa zaidi?
 
Ndugu wana jamvi awali ya yote ningependa kuwatakia Week End njema baada ya kuangaika na harakati za kutafuta riziki,

Labda niende kwenye mada moja kwa moja siku ya leo nilienda kulipa kodi ya majengo katika ofisi za TRA baada ya kusikia tangazo kuwa leo ndio siku ya mwisho ya kukusanya kodi ya majengo.

Baada ya kukaa mda mrefu kwenye foleni takribani masaa 5 nikafanikiwa kuingia ndani ya ofisi za TRA cha ajabu nilipofika kuhudumiwa nikaambiwa kwa thamani ya jengo unaloishi inabidi utoe kodi ya Tsh 27000.

Nikaingia mfukoni nikatoa Tsh30000 nikarudishiwa elfu 3000 cha ajabu nikiangalia risiti niliyopewa inaonyesha nmelipa elfu 15000 kwaiyo takribani elfu 12000 haipo katika risiti sasa wanandugu je hapa sijaingizwa mjini na hawa TRA ?

fb617030dff4fd546707a7942f6c0ab3.jpg

Kwa kuwa umeamua kuweka hadharani taarifa zako, kuwa Makini kuandika ya Moyoni humu kwa kutumia ID hii maana Siku hizi bahari kuchafuka ni jambo la kawaida sana usishangae tukakupiga uhujumu uchumi au kutakatisha Fedha maana kesi za Uchochezi nmeanza kuzizoea hahahah
 
Kuna siku nilienda kwa MDOSI, nilitaka kufanya manunuzi ya devices kama za 1m Tshs. Nikaomba discount MDOSI akakaza!

Nikachukulia poa. Nikalipa. Akajifanya kujisahaulisha kunipa RECEIPT, ana kazi ya kusifia quality ya zile devices.

Nikamuomba receipt. Jicho likamtoka. Mimi kau. Akajizunguusha wee! Kuja kutoa receipt, figure inasoma lac 3.5!

Nikamuita. Nikamuambia sogea hapa! Wabongo wauzaji wake wakaanza kumbwela! Nikamuambia hizi bidhaa zako kaa nazo, mi naondoka na RECEIPT tu!

Kilichofuata....! Ngoja nigonge MCHEMSHO kwanza!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku nilienda kwa MDOSI, nilitaka kufanya manunuzi ya devices kama za 1m Tshs. Nikaomba discount MDOSI akakaza!

Nikachukulia poa. Nikalipa. Akajifanya kujisahaulisha kunipa RECEIPT, ana kazi ya kusifia quality ya zile devices.

Nikamuomba receipt. Jicho likamtoka. Mimi kau. Akajizunguusha wee! Kuja kutoa receipt, figure inasoma lac 3.5!

Nikamuita. Nikamuambia sogea hapa! Wabongo wauzaji wake wakaanza kumbwela! Nikamuambia hizi bidhaa zako kaa nazo, mi naondoka na RECEIPT tu!

Kilichofuata....! Ngoja nigonge MCHEMSHO kwanza!

Post sent using JamiiForums mobile app
Ahh malizia mkuu ilikuwaje
 
Kuna siku nilienda kwa MDOSI, nilitaka kufanya manunuzi ya devices kama za 1m Tshs. Nikaomba discount MDOSI akakaza!

Nikachukulia poa. Nikalipa. Akajifanya kujisahaulisha kunipa RECEIPT, ana kazi ya kusifia quality ya zile devices.

Nikamuomba receipt. Jicho likamtoka. Mimi kau. Akajizunguusha wee! Kuja kutoa receipt, figure inasoma lac 3.5!

Nikamuita. Nikamuambia sogea hapa! Wabongo wauzaji wake wakaanza kumbwela! Nikamuambia hizi bidhaa zako kaa nazo, mi naondoka na RECEIPT tu!

Kilichofuata....! Ngoja nigonge MCHEMSHO kwanza!

Post sent using JamiiForums mobile app
eh eh hii kitu nami niliiona aisee nilinunua hometheater laki 4.5 kucheki risit inasoma laki 180 nkamwambia tusitaniane pasu kwa pasu uzuri i.likua kipindi bado kariakoo hawajaanza kaza tra nkarudi na kalaki kangu na nusu.
 
Pole sâna mkuu, Lakn weka na đemand notes yako hapo tủthibitishe kâma ni kweli... Maana hawa Tra wanâsema wamezaliwa upya... Tưwaone...kâma hutaiweka n vigumu kukuamin

Sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom