Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,771
- 5,268
Naona kuna policy mpya ya TRA imetokea takriban wiki 2 au 3 zilizopita za ku block Tansads za wananchi walipa kodi, ambao wanaingiza mizigo yao bandarini au kupitia airport.
Hii sera kwanini ianze sasa wakati wa kampeni za uchaguzi? Kuna nini kilichojificha nyuma yake na TRA ya CCM? Kwanini tunyanyanyaswe hivi kama vile wakwepa kodi na kupewa usumbufu mkubwa na TRA kwa mizigo yetu kukataliwa release documents na TRA licha ya kulipa kodi zote stahiki tena bila ya kutaarifiwa na TRA kama kuna matatizo yoyote?
Hii sera kwanini ianze sasa wakati wa kampeni za uchaguzi? Kuna nini kilichojificha nyuma yake na TRA ya CCM? Kwanini tunyanyanyaswe hivi kama vile wakwepa kodi na kupewa usumbufu mkubwa na TRA kwa mizigo yetu kukataliwa release documents na TRA licha ya kulipa kodi zote stahiki tena bila ya kutaarifiwa na TRA kama kuna matatizo yoyote?