Picha ya kwanza: nyamaza nyama wee. Hii nchi ilikuwepo kabla wewe hujazaliwa.Acha tu picha ziongee View attachment 777757View attachment 777758
TRA Imeoza. Uzalendo keisha wanaangalia matumbo yaoPicha ya kwanza: nyamaza nyama wee. Hii nchi ilikuwepo kabla wewe hujazaliwa.
Picha ya pili: pambafu nikikwambia unyamaze hukusikia ngoja nikufundishe adabu nyambafu wewe ili ukamsimulie babu yako kaburini.
mkuu samahani unazugumzia kodi ya kukatwa kutoka mshahara?Lipa Kodi Kwa Maendeleo ya Taifa, Acha Kuhujumu Uchumi Mimi Mwenyewe nalipa Kodi Kila Mwezi ambapo Sasa Imefika Sh. 345,400 kwa Mwaka nalipa Sh.4,114,400 na Silalamiki Najivunia Kulipa Kodi.
dawa sasa iwaingieTRA Imeoza. Uzalendo keisha wanaangalia matumbo yao
Huyo anajikwamisha mwenyewe,usiwasingizie watu.Ina maana washauri wake hawakuwa wanajua hali ilivyo kwa mtaa hadi aje aambiwe na wafanyabiashara?Sera za biashara na viwanda pamoja na mikakati yake inaeleza kila kitu.Tatizo la huyo mtu wenu ni kutaka sifa kuliko pitiliza pamoja na roho mbaya.JPM lazima avae miwani ya mbao kukata milija ya mabeberu ambao mizizi yake iko within...CCM ni watu hatari kuliko nzige.
JPM unakwamishwa na hao hao; wala si kina Mbowe, Lissu, Msigwa na Lema maskini wa Mungu. These guys are so innocent.
Umenena vyema!Hawajamhujumu mkuu, kwani wakati wa Kikwete na Mkapa TRA si hawa hawa? Kwa nini sasa? Matatizo ya taasisi nyingi huwa ni kwenye 'bottleneck'. Kama mkubwa brain yake inaamini uchumi wa nchi ni kodi, unategemea hawa wapiga zumari wafanye nini?