TRA, mfumo wenu wa e-filing haufanyi kazi

konda msafi

JF-Expert Member
Sep 5, 2018
1,666
8,582
TRA acheni ubabaishaji. Kama hamkuwa tayari kuingia kwenye mfumo wa kidigitali mlitakiwa msubiri mpaka pale mtakapokuwa tayari. Sio kulazimisha kuonekana mpo advanced wakati ni ubabaishaji mtupu.

Toka tarehe 1 February mtandao wenu unasumbua kufanya e-filing. Na due date ikipita mnaimpose penalties. Au ndio mpango wenu watu washindwe kufile on time ili mpate hela?
 
Tatizo ya agencies za serikali ya Tanzania huwa hazina weledi ila zinapenda kuintroduce system sophiscated ili zionekane zipo ulimwengu wa kwanza, matokeo yake ndio kama haya. Agencies zote hovyo tu. Ukienda NSSF unaambiwa mtandao uko chini rudi njoo kesho. Ukienda NIDA nako vilevile mtandao upo chini njoo kesho. Huwa nashangaa sana, kama hamjawa competent kwa nini muintroduce system ambayo hamjawa tayari kuioperate? Hii inatupotezea muda sisi wananchi na inatupa hasara pia.
 
TUANZIE HUKU KWANZA, HIZO NAMBA ZA HUDUMA KUZIPATA HEWANI NI MTIHANI TOSHA, BORA UPIGWE NA KISHOKA TU YAISHE
IMG_20210202_103105_888.jpg
 
TRA acheni ubabaishaji. Kama hamkuwa tayari kuingia kwenye mfumo wa kidigitali mlitakiwa msubiri mpaka pale mtakapokuwa tayari. Sio kulazimisha kuonekana mpo advanced wakati ni ubabaishaji mtupu.

Toka tarehe 1 February mtandao wenu unasumbua kufanya e-filing. Na due date ikipita mnaimpose penalties. Au ndio mpango wenu watu washindwe kufile on time ili mpate hela?
Ni namna ya kutengeneza rushwa, kwani huu mfumo umeondoa kuonana ana kwa ana, sasa lazima Mazingira yatengenezwe, rushwa haiwezi isha bila mwananchi kupewa nafasi ya kulalamika kwa ngazi za juu kwa urahisi na salama.
 
Back
Top Bottom