Scaramanga
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 420
- 574
TRA yatoa taarifa ya maboresho ya mifumo yake kuanzia feb 3 mpaka feb 5 2023.
=====
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kufanya maboresho ya Mifumo hiyo kuanzia Februari 3, 2023 Saa 12 kamili Jioni ili kuongeza ufanisi wa Huduma zinazotolewa
Huduma za Usajili wa Namba za Utambulisho wa Mlipa Kodi (TIN) na Usajili wa Walipa Kodi wa Ongezeko la Thamani (VAT), Uwasilishaji wa Ritani mbalimbali na Usajili wa Malipo ya Kodi mbalimbali hazitapatikana hadi Februari 5, 2023 Saa 7 Mchana
Kutokana na maboresho hayo, tarahe iliyopangwa kuwa mwisho wa uwasilishaji wa Ritani na Kulipa Kodi za Maendeleo ya Ufundi Stadi (SDL) na Kodi za Ajira (PAYE) za Januari 2023 zimesogezwa hadi Februari 10, 2023.
TRA
=====
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kufanya maboresho ya Mifumo hiyo kuanzia Februari 3, 2023 Saa 12 kamili Jioni ili kuongeza ufanisi wa Huduma zinazotolewa
Huduma za Usajili wa Namba za Utambulisho wa Mlipa Kodi (TIN) na Usajili wa Walipa Kodi wa Ongezeko la Thamani (VAT), Uwasilishaji wa Ritani mbalimbali na Usajili wa Malipo ya Kodi mbalimbali hazitapatikana hadi Februari 5, 2023 Saa 7 Mchana
Kutokana na maboresho hayo, tarahe iliyopangwa kuwa mwisho wa uwasilishaji wa Ritani na Kulipa Kodi za Maendeleo ya Ufundi Stadi (SDL) na Kodi za Ajira (PAYE) za Januari 2023 zimesogezwa hadi Februari 10, 2023.
TRA