Ni ngumu kupata refa maana Mimi si mapenzi wa Siasa huenda hili nalo limechangia Kama ningekuwa mwanasiasa Mambo mengi ningefanikiwa.Wenye account zilizonona kipindi Cha mniombee walipata tabu kupita maelezo
Yaani kilichokuwa kinafanyika ni kukatakata wanavyotaka baadae unapewa kilichobaki, Kuna mzee mitaa yetu biashara zake tairii juu
Kunyanyuka sidhani
Nachoona upande wako ushajua njia za kupita itapendeza Kama ukipata refa mtakayekuwa mnamegeana kidogo
Hii nchi ukishakubalika kwenye line za Hawa vibopa baaasi ni mwendo wa oda tu
Vat na FileMkuu samahani,ulikua una file VAT Returns kila mwezi?? Na kama ulikua una file,then unasema umepata loss,wakati account zako wanaziona zinaingiza pesa,hapo ndiyo kuna shida! Tafuta wana Sheria wakushauri chakufanya,au nenda kaonane na Commissioner General wa TRA,kama una madeni wekeni mkakati wa namna yakuyalipa na waweze kufungulia account zako uweze kua na access na pesa zako!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
VatMkuu samahani,ulikua una file VAT Returns kila mwezi?? Na kama ulikua una file,then unasema umepata loss,wakati account zako wanaziona zinaingiza pesa,hapo ndiyo kuna shida! Tafuta wana Sheria wakushauri chakufanya,au nenda kaonane na Commissioner General wa TRA,kama una madeni wekeni mkakati wa namna yakuyalipa na waweze kufungulia account zako uweze kua na access na pesa zako!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Utawala jiwe ilikua bora kununua safe na kuficha hela ndani mwakoNi maelezo marefu siwezi kuweka milolongo ya kila kitu hapa nimejaribu kuelezea kwa ufupi tu ili wanao maliza vyuo, vijana mtaani wajue hali hivyo Mengine nimemwachia Mungu
Asante SanaDah!
Hapa duniani unaweza kuwa unapitia magumu ukahisi uko alone..
Kila mtu akisema aseme, utaona huna tatizo..
Nakumbuka kuna kipindi tatizo lilokuwa linanisumbua lilipiki, nikawa najifungia chumbani kwangu nikilia tu huku akilini najiuliza kwa nini mimi? Mbona wengine hawajapitishwa huku..
Kuna siku nilijisemea nitoke nizunguke kurefresh na kupoteza mawazo, nikaelekea maeneo ya Mbezi stand ambapo nilikutana na kijana ana mwili wa ajabu sana amekaa anaomba watu wamsaidie.. Ukimuangalia unaona kabisa siye aliyejileta maana hawezi kufanya vile kwa jinsi alivyo...
Nilijiona nina afadhali maana nilijiuliza nini kinaendelea katika akili ya yule mtu katika hali ile... Naamini alitamani atembee kama mimi, amudu kujihudumia kwa sehemu kama mimi lkn ndio vile tena... Nilichoka!
Sisemi Mkuu kutokuwa peke yako ni justification ya kupitia matatizo..
I just want to tell you Mkuu, ni kweli Umeumia lakn usiruhusu hayo maumivu yakudhurumu kile ulichonacho ambacho wengine wanatamani usiku na mchana kuwa nacho lakn hawana.
Just be thankful kwa kila jambo, angalia wapi ulikosea, chukua hatua songa mbele.
Dont Give up.
Mipango miji ndio hufanya hivyo ili Kuwa na hakika ya jengo umalojenga limekidhi viwango mfanano wa aina ya Ujenzi unaotakiwa mahali hapoNaomba kuuliza nje ya maada,
๐๐ข๐ฏ๐ข ๐ข๐ง๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ฃ๐ ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐๐ง๐๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข๐ ๐ค๐จ๐๐ข/ ๐ค๐ข๐๐๐ซ๐ข ๐๐ก๐ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐๐ง๐ ๐ ๐ฐ๐๐ค๐๐ญ๐ข ๐ค๐ข๐ฐ๐๐ง๐ฃ๐ ๐ค๐ข๐ฆ๐๐ฉ๐ข๐ฆ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ค๐ข๐ง๐ ๐ก๐๐ญ๐ข, ๐ค๐ข๐ฐ๐๐ง๐ฃ๐ ๐ง๐ข ๐๐ก๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ง๐ ๐ก๐๐ญ๐ข ๐ง๐ข๐ฆ๐๐ฉ๐๐ฐ๐ ๐ข๐ง๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ฃ๐ ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข๐ ๐ค๐ข๐๐๐ซ๐ข ๐๐ก๐ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐๐ง๐ ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ข ๐ข๐ฆ๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ฎ๐ฃ๐๐ง๐ณ๐ข ๐ก๐จ๐ฅ๐๐ฅ๐?
Asante kwa Ushauri lakini nimefanya zaidi ya hayoNdiyo maana nilisema! Ongea nao! Kufunga Account za mtu hua ni hatua ya mwisho kabisa! Omba hata kuonana na Waziri wa Fedha! Hiyo ni haki yako pambania! Mkae chini wekeni mkakati wa namna gani unaweza kulipa hizo pesa zao za Vat,Payee na hizo City Service Levy ambazo hulipwa halmashauri,Jiji au municipal
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app