TRA ikague vituo vyote vya mafuta wajue kama vina automatic EFD

lendomza

JF-Expert Member
Jun 11, 2016
396
228
wafanya biashara hawapendi kulipa kodi!! naomba TRA nchi nzima wangekagua kujua kama vituo vya mafuta vyote nchini vina automatic EFD !! automatic EFD inasaidia sana maana ukiweka mafuta kwenye gari ina print hapo hapo !kingine kuwepo na ukaguzi Wa Mara kwa Mara kuzihakiki kama hizi EFD zinafanya kazi vizuri hazijachezewa na wabongo!!

tulipe wote kodi kwa maendeleo ya taifa letu!!

Mungu ibariki Tanzania
 
wafanya biashara hawapendi kulipa kodi!! naomba TRA nchi nzima wangekagua kujua kama vituo vya mafuta vyote nchini vina automatic EFD !! automatic EFD inasaidia sana maana ukiweka mafuta kwenye gari ina print hapo hapo !kingine kuwepo na ukaguzi Wa Mara kwa Mara kuzihakiki kama hizi EFD zinafanya kazi vizuri hazijachezewa na wabongo!!

tulipe wote kodi kwa maendeleo ya taifa letu!!

Mungu ibariki Tanzania
mi kweli kabisa, maana sanaa nyingi
 
Back
Top Bottom