MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,040
- 858
Naomba kuwasilisha na kupata mawazo na michango yenu wana jf hivi mnaonaje ajira za tra zikawa zinatangazwa na utumishi angalau kupunguza undugu na usiri wanaoufanya hawa jamaa wa tra, kwa sababu hawa jamaa wamezidi kuajiriana kwa kujuana sanaaa afadhali hata hawa wa utumishi sie watoto wa wakulima tunaitwaga mara chache kwenye hizo interview zao.
Note: Ni idea tu imenijia nikaona nipate michango chanya kutoka kwa wana jf na mitazamo ya great thinkers wa jukwaa la kazi na tenda
Note: Ni idea tu imenijia nikaona nipate michango chanya kutoka kwa wana jf na mitazamo ya great thinkers wa jukwaa la kazi na tenda