TRA hawana Formula au Software ya kukadiria kodi?

MPadmire

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
3,928
3,225
Nashangaa sana kuzagaa kwa malalamiko ya wafanyabiashara kubambikiziwa kodi kubwa.

Wapo Maafisa wengi TRA wasio waaminifu, wanakadiria kodi kubwa, --baadae wanakuja mlango wa nyuma kuomba Rushwa ili wapunguze makadirio.

Ni ngumu sana TAKUKURU kuwanasa maana wafanyabiashara wanaogopa kuwa, wakifichua hii tabia, TRA watafanya uhasama na huyo mfanyabiashara na kulipa kisasi...

Kwa nini Ma IT wa Tanzania au MaEngineer wasije na Software au App ya kukadiria Kodi?

Mfano..APP au Soft ware..Unaingiza Mtaji, unaingiza Mzunguko Mauzo, unaingiza total profit --then Inatoa jibu la Kodi inayotakiwa kulipa
 
Nashangaa sana- TRA wanapuuza kauli ya Rais au nini kinaendelea?

https://www.ippmedia.com/sw/habari/jpm-ataka-tra-itoze-watu-kodi-inayolipika

Kauli ingine ya RAIS ni kuhusu mafao

FAO LA KUJITOA - limerejeshwa?

Duh, hapa watendaji wanamuangusha raisi, Wafanyakazi wa UMMA wako salary oriented tu, hawajui shida za wananchi

Angalia Mfano mwingine, Ng'ombe kwenda Zanzibar anatozwa kodi 35,000 (Kama kwenda Kenya) badala ya 7500

Hii nchi buanaa
 
Nashangaa sana kuzagaa kwa malalamiko ya wafanyabiashara kubambikiziwa kodi kubwa.

Wapo Maafisa wengi TRA wasio waaminifu, wanakadiria kodi kubwa, --baadae wanakuja mlango wa nyuma kuomba Rushwa ili wapunguze makadirio.

Ni ngumu sana TAKUKURU kuwanasa maana wafanyabiashara wanaogopa kuwa, wakifichua hii tabia, TRA watafanya uhasama na huyo mfanyabiashara na kulipa kisasi...

Kwa nini Ma IT wa Tanzania au MaEngineer wasije na Software au App ya kukadiria Kodi?

Mfano..APP au Soft ware..Unaingiza Mtaji, unaingiza Mzunguko Mauzo, unaingiza total profit --then Inatoa jibu la Kodi inayotakiwa kulipa

Hakuna Soft Dunia nzima ya ku determine corporate Tax

Kodi ya Mapato itokanayo Na Biashara huwezi ku pre determine Bali unaweza kukadiria then kadri Biashara inavyoendelea utajua level ya Biashara

Hata Baada ya kumaliza operations zako unapewa Muda wa Takriban Miezi mitatu kuweka sawa hesabu zako then unakagua hesabu zako Mwishowe unapata hesabu kamili


Zipo baadhi ya kodi ambazo unaweza ku pre determine mfano kodi ya ku import Magari Lakin Kwenye Biashara Hata Wewe Mwenyewe huwezi kujua level ya Biashara yako mpaka December wakati upo January


Pia Msingi wa kodi sio tu kukusanya kodi

Zipo kodi zinatozwa Kwenye bidhaa kwa lengo la ku discourage Biashara husika

Mfano Mifuko ya Plastic inatozwa kodi ku discourage production sio kupata pato hivyo kodi yake inalingana Na thamani ya Mauzo
 
Hakuna Soft Dunia nzima ya ku determine corporate Tax

Kodi ya Mapato itokanayo Na Biashara huwezi ku pre determine Bali unaweza kukadiria then kadri Biashara inavyoendelea utajua level ya Biashara

Hata Baada ya kumaliza operations zako unapewa Muda wa Takriban Miezi mitatu kuweka sawa hesabu zako then unakagua hesabu zako Mwishowe unapata hesabu kamili


Zipo baadhi ya kodi ambazo unaweza ku pre determine mfano kodi ya ku import Magari Lakin Kwenye Biashara Hata Wewe Mwenyewe huwezi kujua level ya Biashara yako mpaka December wakati upo January

Je, Kwa nini TRA hawatekelezi kauli ya Rais?
 
Nashangaa sana kuzagaa kwa malalamiko ya wafanyabiashara kubambikiziwa kodi kubwa.

Wapo Maafisa wengi TRA wasio waaminifu, wanakadiria kodi kubwa, --baadae wanakuja mlango wa nyuma kuomba Rushwa ili wapunguze makadirio.

Ni ngumu sana TAKUKURU kuwanasa maana wafanyabiashara wanaogopa kuwa, wakifichua hii tabia, TRA watafanya uhasama na huyo mfanyabiashara na kulipa kisasi...

Kwa nini Ma IT wa Tanzania au MaEngineer wasije na Software au App ya kukadiria Kodi?

Mfano..APP au Soft ware..Unaingiza Mtaji, unaingiza Mzunguko Mauzo, unaingiza total profit --then Inatoa jibu la Kodi inayotakiwa kulipa
Hii ni akili kubwa sana

Wachache sana wataelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashangaa sana kuzagaa kwa malalamiko ya wafanyabiashara kubambikiziwa kodi kubwa.

Wapo Maafisa wengi TRA wasio waaminifu, wanakadiria kodi kubwa, --baadae wanakuja mlango wa nyuma kuomba Rushwa ili wapunguze makadirio.

Ni ngumu sana TAKUKURU kuwanasa maana wafanyabiashara wanaogopa kuwa, wakifichua hii tabia, TRA watafanya uhasama na huyo mfanyabiashara na kulipa kisasi...

Kwa nini Ma IT wa Tanzania au MaEngineer wasije na Software au App ya kukadiria Kodi?

Mfano..APP au Soft ware..Unaingiza Mtaji, unaingiza Mzunguko Mauzo, unaingiza total profit --then Inatoa jibu la Kodi inayotakiwa kulipa
Makadirio ya kodi yameainishwa kisheria. Software yenyewe itabidi itii sheria bila shuruti! Tatizo wananchi wengi hawajui hata kodi zenyewe zinakadiriwaje!

TRA ni watekelezaji wa sheria kama polisi tu! Unapaswa kujua vitu vya msingi ili usiumie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna Soft Dunia nzima ya ku determine corporate Tax

Kodi ya Mapato itokanayo Na Biashara huwezi ku pre determine Bali unaweza kukadiria then kadri Biashara inavyoendelea utajua level ya Biashara

Hata Baada ya kumaliza operations zako unapewa Muda wa Takriban Miezi mitatu kuweka sawa hesabu zako then unakagua hesabu zako Mwishowe unapata hesabu kamili


Zipo baadhi ya kodi ambazo unaweza ku pre determine mfano kodi ya ku import Magari Lakin Kwenye Biashara Hata Wewe Mwenyewe huwezi kujua level ya Biashara yako mpaka December wakati upo January


Pia Msingi wa kodi sio tu kukusanya kodi

Zipo kodi zinatozwa Kwenye bidhaa kwa lengo la ku discourage Biashara husika

Mfano Mifuko ya Plastic inatozwa kodi ku discourage production sio kupata pato hivyo kodi yake inalingana Na thamani ya Mauzo
Kwani wanakadiria wanajiwekea tu figure yoyote inayowajia kichwani....si kuna vitu wana viangalia

Sasa hivyo vitu vikisetiwa kwenye system lazima itatoa majibu yale yale au karibu na yao

Haya mambo ya makadirio yanatengeneza loophole kubwa sana ya wafanyabiashara kupigwa

Mnaweza mkawa na biashara inayofanana, mitaji inayofanana na mauzo yanayokaribianan nendeni sasa kwenye makadirio ndo utajua tofauti yenu...why

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna Soft Dunia nzima ya ku determine corporate Tax

Kodi ya Mapato itokanayo Na Biashara huwezi ku pre determine Bali unaweza kukadiria then kadri Biashara inavyoendelea utajua level ya Biashara

Hata Baada ya kumaliza operations zako unapewa Muda wa Takriban Miezi mitatu kuweka sawa hesabu zako then unakagua hesabu zako Mwishowe unapata hesabu kamili


Zipo baadhi ya kodi ambazo unaweza ku pre determine mfano kodi ya ku import Magari Lakin Kwenye Biashara Hata Wewe Mwenyewe huwezi kujua level ya Biashara yako mpaka December wakati upo January


Pia Msingi wa kodi sio tu kukusanya kodi

Zipo kodi zinatozwa Kwenye bidhaa kwa lengo la ku discourage Biashara husika

Mfano Mifuko ya Plastic inatozwa kodi ku discourage production sio kupata pato hivyo kodi yake inalingana Na thamani ya Mauzo
Asante Mkuu hebu nidadavulie kwanini nikinunu a mtumba wa gari kodi inazidi mara mbili ya nei niliyonunulia gari?? wakati gari ni bidhaa wala sijafanya biashara yoyote??
 
Sasa wanabomoa nini? (Mapato yatapungua)

TRA wameambiwa wawe wabunifu, wapanue TAX base ili kuwe na walipa kodi wengi... NA SIO KUBAMBIKIZA WACHACHE KODI KUBWA...

They are just sitting waiting for Salaries

Hapo ndo kuna shida yaani wao wakishaa pewa target badala ya wao kuangali walipatji wapya wao wanaKOMAA na walipo kwa kuwaongezea kiasi kikubwa cha kodi hapo ndo mwisho wao wa kufikikria
 
Kwani wanakadiria wanajiwekea tu figure yoyote inayowajia kichwani....si kuna vitu wana viangalia

Sasa hivyo vitu vikisetiwa kwenye system lazima itatoa majibu yale yale au karibu na yao

Haya mambo ya makadirio yanatengeneza loophole kubwa sana ya wafanyabiashara kupigwa

Mnaweza mkawa na biashara inayofanana, mitaji inayofanana na mauzo yanayokaribianan nendeni sasa kwenye makadirio ndo utajua tofauti yenu...why

Sent using Jamii Forums mobile app
ofcourse nilikuqa nawaza.kama wewe...biashara hizo zina variables, kwanini hizo variables zisiingizwe?? Au mpaka Mkorea avumbue ndio MaIT wetu wajifanye wajanja??
 
Kwani wanakadiria wanajiwekea tu figure yoyote inayowajia kichwani....si kuna vitu wana viangalia

Sasa hivyo vitu vikisetiwa kwenye system lazima itatoa majibu yale yale au karibu na yao

Haya mambo ya makadirio yanatengeneza loophole kubwa sana ya wafanyabiashara kupigwa

Mnaweza mkawa na biashara inayofanana, mitaji inayofanana na mauzo yanayokaribianan nendeni sasa kwenye makadirio ndo utajua tofauti yenu...why

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria ya makadirio imewekwa kwa wafanyabiashara wasio na records ambazo zinaweza kutumika kupata kodi halisi. Kama una keep records huwezi kukadiriwa.

Ndio maana nikasema tatizo ni elimu kwa wafanyabiashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Mkuu hebu nidadavulie kwanini nikinunu a mtumba wa gari kodi inazidi mara mbili ya nei niliyonunulia gari?? wakati gari ni bidhaa wala sijafanya biashara yoyote??

Nimeeleza Hapo Kuwa Msingi wa kodi sio tu kukusanya Mapato Pia Ni tool ya ku incourage au ku discourage kitu

Mfano Wa Hilo ulilosema kodi Hapo inatozwa ku discourage Matumizi ya aina hiyo
 
Asante Mkuu hebu nidadavulie kwanini nikinunu a mtumba wa gari kodi inazidi mara mbili ya nei niliyonunulia gari?? wakati gari ni bidhaa wala sijafanya biashara yoyote??
Gari unalonunua kutoka nje unapata invoice kutoka kwa muuzaji ambaye unaweza ku collude nae na kuweka value ndogo ili ulipe kodi kidogo. Ndio maana nchi nyingi zimeweka standards ili kupunguza ukwepaji kodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unajua zamani ushuru wa magari tulikuwa tunaenda kupigiwa hesabu tra au zile kampuni za forwad, ilikuwa complicated sana

Lakini saivi you just feed data, majibu haya hapa

Kuna vitu vingine unaweza kukuta wahusika wenyewe wanapinga maana itaharibu kula yao
ofcourse nilikuqa nawaza.kama wewe...biashara hizo zina variables, kwanini hizo variables zisiingizwe?? Au mpaka Mkorea avumbue ndio MaIT wetu wajifanye wajanja??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeeleza Hapo Kuwa Msingi wa kodi sio tu kukusanya Mapato Pia Ni tool ya ku incourage au ku discourage kitu

Mfano Wa Hilo ulilosema kodi Hapo inatozwa ku discourage Matumizi ya aina hiyo
Yes inaweza kuwa ni kuzuia kupunguza nchi kuwa damping place lakini pia kuondoa uwezekano wa muuzaji na mnunuzi ku collude ili kukwepa kodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom