sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Hayati baba wa taifa aliwahi kusema serikali CORRUPT, kazi yake ni kukimbizana na vijitu vidogodogo mittaani na kuwaacha wale wanaostahili kukwepa kodi. nashangaa hivi kule ambako nyumba hazina hata utaratibu MIPANGO MIJI , nako mnaenda kudai kodi.? vinyumba ambavyo wenye navyo hata kukopea benk hawawezi na ninyi serikali hamzitambui kwa maana ya kuzipa aidha HATI MILIKI ama LESENI YA MAKAZI. jamani hivi serikali imefilisikaaaaaaaaa...?