Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,508
- 6,888
1. mwandishi wa habari kaandika tra lakini ukisoma mchanganuo utaona kuna Taa parking and landing charges.
2. ukisoma utaona element kubwa ni departure tax a.k.a air port tax. kila abiria anakatwa 10,000 hii ni hela ya serikali.
3. wafanyakazi wa kigeni ambao wameajiriwa kwenye makampuni wanatakiwa kulipa kodi na nssf. Ambao hawalipi kodi ni kwenye embassy, UN na makundi yake. Fastjet ni private na wanatakiwa kulipia Paye.
4. ushindani ni kitu muhimu kwenye biashara kwa ajili unasaidia kushusha bei na kupata huduma bora, lakini isiwe kisingizio cha kukaa na mapato ya serikali
Mkuu hata kama, hizo pesa zinazodaiwa kwa muda waliofanya biashara hawa jamaa hicho kitu hakiwezekani, kama hizo figure zipo sawa basi nchi hii inakusanya kodi kubwa sana, sioni ni kwanini tuwe na madeni au kuomba omba toka nje, mashirika kama Precision,540, Air Tanzania, Coastal Travel (haya ni baadhi ya mashirika makongwe ya usafiri wa Anga nchini) yatakua yanalipa hivyo kwa muda wote wa kuwepo kwenye biashara mbona tungekua na mihela ya kutosha pale BOT? hapo hujagusa TRL, Makampuni ya simu, Migodi, haa , hapana bwana, waje na single nyingine, hii tayari imeisha chuja hata kabla haijaingia sokoni!