MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Naomba kuuliza kama bado ile calculator ya TRA ya kukukokotoa kodi ya magari yaliyotumika kutoka nje kama bado inatumika. Nauliza kwa sababu kuna mtu kakadiria kodi ya gari akawa amejiandaa vema ila gari lilipofika TRA wakamwongezea milioni 4. Hatjajua kama TRA kwa nini walifanya vile au watuambie je walisha acha kuitumia ile calculator.
Naomba walioagiza magari karibuni mtujuze
Naomba walioagiza magari karibuni mtujuze