TRA Arusha wanahujumu mapato ya Serikali

TENGEFU

Senior Member
Jan 25, 2017
138
206
Kwa utafiti wa siku nne niliofanya TRA Arusha hususani idara ya Dept Management ambao pia nimehusisha baadhi ya wateja waathirika wenzangu nime note deliberate sabotage ya mapato ya serikali inayofanywa na wafanyakazi haswa kwenye issue ya TAX clearence.

Katika utafiti wangu nimebaini yafuatayo:
  • Kati ya wateja 200 wanaongia kutaka kufanyiwa tax clearence ni wateja kati ya 30-40 tu wanaofanikiwa kuhudumiwa;
  • Wateja wengi wanaotaka kufanyiwa tax clearence wameshafika TRA Zaidi ya mara 2 bila mafanikio
  • Wateja wengi (99%) wanasubiri kuanzia masaa 3 -7 kupata huduma wakiwa congested ndani ya TRA ambayo ni hatari sana kwa kipindi hiki cha covid-19
  • Mfanyakazi wa TRA Arusha kwenye kitengo cha Debt management kwa wastani anahudumia wateja 3 tu kwa siku na kisa anarudi nyumbani na mwisho wa mwezi anataka alipwe mshahara wake
  • Majority ya wafanyakazi hawako serious na kazi kwani muda mwingi wanaongea na simu mara na sometime kuwaacha wateja na kutoka nje kwa muda usiojulikana huku akiacha foleni ndefu ikimsubiri.
  • Cha kushangaza Wafanyakazi wa TRA Arusha walioko kwenye dept management ni wengi kuliko wateja lakini efficiency ya kazi yao ni almost zero (0)
  • Kwa dharau kubwa wakati watu wakiwa kwenye foleni leo tarehe 17/03/2021 saa 4 asubuhi bosi wa mmoja akaitisha kikao na wenzake cha kujadili wanayoyafahamu ikabidi kazi zisimame tukasubiri kwenye foleni hadi kikao kikaisha ndio huduma ikarejea tena kwa kujivuta sana. .
Visingizio vya wafanya kazi:
Tunawapowahoji hawa wafanyakazi wa TRA kwa nini huduma zimekuwa almost grounded wanasema tatizo mtandao uko chini; hii ni sabotage. Ni almost wiki tatu TRA Arusha wanasingia mtandao kuwa chini kama chanzo cha huduma mbovu. Ina maana hawa watu hawana kitengo cha wataalamu wa komputa na kusababisha ukusanyaji wa kodi kuwa mbovu kiasi hicho; hii ni hujuma ya wazi kama wiki tatu zote wimbo unaoimbwa ni wa mtandao wa mfumo wa TRA Arusha uko chini na hakuna hatua zozote zinazo chukuliwa .

Hasara wanayosababisha kwa serikali :
  • Wafanya biashara wanaokuja kufanya tax clearance tayari wanakuwa wameandaa fedha ya kulipa kodi kwa robo ya kwanza ya mwaka wa kodi inayoishia tarehe 31/03/2021. Wengi wa wafanyabiashara hawa asilimia 80% wamehairisha kufanya tax clearance maana hawako tayari kupoteza masaa 5 TRA. Hivyo say wastani wa malipo ya kila robo ni laki tano (500,000) na kila wiki wafanyabiashara 2000 wanahairisha kulipa kodi; hii ina maana serikali ina kosa kulipwa kwa wakati bilioni moja(1,000,000) kila wiki ambazo zinahitajika kwenye miradi ya maendeleo haswa kipindi hiki serikali inatumia Zaidi hela zetu za ndani katika miradi ya maendeleo.
  • Serikali inapata hasara kubwa kutumia mamilioni ya fedha za wavuja jasho kuwalipa wafanyakazi wasio na sifa wasiojituma , wasiojiongeza na wasio na uzalendo na nchi yao.

Ushauri wa bure kwa TRA na serikali:
  • Serikali ikifumue hiki kitengo cha debt management na kutafuta vijana wanaojituma kwani walioko wengi wanafanya kazi kwa mazoe na kiburi

  • Kuna baadhi ya wafanyakazi ndio wamehodhi suala la kufanya tax clearance licha ya kuwepo wafanyakazi wengi lukuki; hawa ndio wanalsababisha matatizo makubwa. Kwa mfano pale block ya Kijenge kuna mdada pale ni mzito kama jiwe na ndiye peke yake anayefanya Tax Clearance na anamhudumia mteja mmoja Zaidi ya saa na nusu very slowly na simu ikiita anakuacha anatoka nje anarudi baada ya dakika 20. Hii ni hujuma ya wazi.

  • Baadhi ya wafanyakazi wa TRA hapo debt department wanafanya kazi kwa mazoea (business as usual na wamekosa ubunifu wa kuboresha ufanisi wa idara na wasiposhughulikiwa mtavuna mabua. Wao jua liwake mvua inyeshe they don’t care bora mwisho wa mwezi wamepokea chao. Hii ni hujuma, usaliti na kukosa uzalendo.
  • TRA iboreshe appraisal forms za wafanyakazi ili wapimwe on performance basis na kila siku wapewe strict targets kama kigezo moja wapo cha kuwapima na siyo kujifanyia kazi kienyeji wakati wanai gharimu serikali mamilioni ya hela.
 
Imetulia sana nafikiri wausika wamesikia pia na idara nyingine zipate funzo kupitia hili bandiko.
 
Rais anapiga kelele kwamba wafanyabishara wana kwepa kodi lakini tatizo kubwa kuliko lote ni huu mfumo wao wa ukusanyaji kodi umegubikwa na urasimu na watu wenye elimu ndogo na wachumi tumbo.
 
TRA wanatesa walipa kodi kupisa kiasi hata ukusanyaji unashuka kwa sababu ya TRA wenyewe. Hii ni hujuma na rais asiposhtuka ni kweli atavuna mabua.
 
Tatizo la wafanyakazi wengi wa TRA ni vilaza wanachojua ni kufunga biashara za watu badala ya kuweka mazingira ya watu kulipa kodi
 
Imetulia sana nafikiri wausika wamesikia pia na idara nyingine zipate funzo kupitia hili bandiko
Kwa utafiti wa siku nne niliofanya TRA Arusha hususani idara ya Dept Management ambao pia nimehusisha baadhi ya wateja waathirika wenzangu nime note deliberate sabotage ya mapato ya serikali inayofanywa na wafanyakazi haswa kwenye issue ya TAX clearence.

Katika utafiti wangu nimebaini yafuatayo:
  • Kati ya wateja 200 wanaongia kutaka kufanyiwa tax clearence ni wateja kati ya 30-40 tu wanaofanikiwa kuhudumiwa;
  • Wateja wengi wanaotaka kufanyiwa tax clearence wameshafika TRA Zaidi ya mara 2 bila mafanikio
  • Wateja wengi (99%) wanasubiri kuanzia masaa 3 -7 kupata huduma wakiwa congested ndani ya TRA ambayo ni hatari sana kwa kipindi hiki cha covid-19
  • Mfanyakazi wa TRA Arusha kwenye kitengo cha Debt management kwa wastani anahudumia wateja 3 tu kwa siku na kisa anarudi nyumbani na mwisho wa mwezi anataka alipwe mshahara wake
  • Majority ya wafanyakazi hawako serious na kazi kwani muda mwingi wanaongea na simu mara na sometime kuwaacha wateja na kutoka nje kwa muda usiojulikana huku akiacha foleni ndefu ikimsubiri.
  • Cha kushangaza Wafanyakazi wa TRA Arusha walioko kwenye dept management ni wengi kuliko wateja lakini efficiency ya kazi yao ni almost zero (0)
  • Kwa dharau kubwa wakati watu wakiwa kwenye foleni leo tarehe 17/03/2021 saa 4 asubuhi bosi wa mmoja akaitisha kikao na wenzake cha kujadili wanayoyafahamu ikabidi kazi zisimame tukasubiri kwenye foleni hadi kikao kikaisha ndio huduma ikarejea tena kwa kujivuta sana. .
Visingizio vya wafanya kazi:
Tunawapowahoji hawa wafanyakazi wa TRA kwa nini huduma zimekuwa almost grounded wanasema tatizo mtandao uko chini; hii ni sabotage. Ni almost wiki tatu TRA Arusha wanasingia mtandao kuwa chini kama chanzo cha huduma mbovu. Ina maana hawa watu hawana kitengo cha wataalamu wa komputa na kusababisha ukusanyaji wa kodi kuwa mbovu kiasi hicho; hii ni hujuma ya wazi kama wiki tatu zote wimbo unaoimbwa ni wa mtandao wa mfumo wa TRA Arusha uko chini na hakuna hatua zozote zinazo chukuliwa .

Hasara wanayosababisha kwa serikali :
  • Wafanya biashara wanaokuja kufanya tax clearance tayari wanakuwa wameandaa fedha ya kulipa kodi kwa robo ya kwanza ya mwaka wa kodi inayoishia tarehe 31/03/2021. Wengi wa wafanyabiashara hawa asilimia 80% wamehairisha kufanya tax clearance maana hawako tayari kupoteza masaa 5 TRA. Hivyo say wastani wa malipo ya kila robo ni laki tano (500,000) na kila wiki wafanyabiashara 2000 wanahairisha kulipa kodi; hii ina maana serikali ina kosa kulipwa kwa wakati bilioni moja(1,000,000) kila wiki ambazo zinahitajika kwenye miradi ya maendeleo haswa kipindi hiki serikali inatumia Zaidi hela zetu za ndani katika miradi ya maendeleo.
  • Serikali inapata hasara kubwa kutumia mamilioni ya fedha za wavuja jasho kuwalipa wafanyakazi wasio na sifa wasiojituma , wasiojiongeza na wasio na uzalendo na nchi yao.

Ushauri wa bure kwa TRA na serikali:
  • Serikali ikifumue hiki kitengo cha debt management na kutafuta vijana wanaojituma kwani walioko wengi wanafanya kazi kwa mazoe na kiburi

  • Kuna baadhi ya wafanyakazi ndio wamehodhi suala la kufanya tax clearance licha ya kuwepo wafanyakazi wengi lukuki; hawa ndio wanalsababisha matatizo makubwa. Kwa mfano pale block ya Kijenge kuna mdada pale ni mzito kama jiwe na ndiye peke yake anayefanya Tax Clearance na anamhudumia mteja mmoja Zaidi ya saa na nusu very slowly na simu ikiita anakuacha anatoka nje anarudi baada ya dakika 20. Hii ni hujuma ya wazi.

  • Baadhi ya wafanyakazi wa TRA hapo debt deoartment wanafanya kazi kwa mazoe (business as usual na wamekosa ubunifu wa kuboresha ufanisi wa idara na wasiposhughulikiwa mtavuna mabua. Wao jua liwake mvua inyeshe they don’t care bora mwisho wa mwezi wamepokea chao. Hii ni hujuma, usaliti na kukosa uzalendo.
  • TRA iboreshe appraisal forms za wafanyakazi ili wapimwe on performance basis na kila siku wapewe strict targets kama kigezo moja wapo cha kuwapima na siyo kujifanyia kazi kienyeji wakati wanai gharimu serikali mamilioni ya hela.
ni kweli kabisa uko sahihi
 
Anayelalamika humu ni mlipa kodi waminifu na asiyependa usumbufu lakini watengeneza mazingira ya ujangili wa kuja kumpiga penalties na kufunga biashara yake ili hali wao ndio chanzo cha tatizo
 
My assumptions:
TRA wanacheza "delay tactics" ili muda wa kulipa kodi bila adhabu umalizike na baada ya hapo wawavamie wafanyabiashara na kuwapigisha adhabu maana huko ndiko wanakopata mapato mengi.
 
How came mtandao uwe down consistently zaidi ya wiki 3 from sunrise to sunset kama siyo mbinu chafu tu;. Ina maana IT wao wanafanya nini?
 
My assumptions:
TRA wanacheza "delay tactics" ili muda wa kulipa kodi bila adhabu umalizike na baada ya hapo wawavamie wafanyabiashara na kuwapigisha adhabu maana huko ndiko wanakopata mapato mengi.
Wanatafuta ulaji mkuu

Performance assesment hakuna hapo. Ilitakiwa kila mfanyakazi alipwe mshahara kwa idadi ya wateja aliohudumia.na yule branch manager kigezo kiwe idadi ya biasbara zinazolipa kodi.ikitokea biashara ni hizo hizo au zimepungua tuu,piga chini huyo maana atakuwa kuna namna amechamgia kuua biashara.
 
o Kikao chenyewe hicho hapo kama wanabisha wabishe
1615986311346.png
 
kufanya tax clearance au kupata tax clearance? ila mtandao wao sijui nani anawapa hiyo huduma always erratic, sijui wamenunua bandwidth ndogo?
 
kufanya tax clearance au kupata tax clearance? ila mtandao wao sijui nani anawapa hiyo huduma always erratic, sijui wamenunua bandwidth ndogo?
Mkuu kinachoendelea TRA watu ambao taifa linawategemea kupata hela za kuendesha uchumu siyo bahati mbaya. Ni mkakati kabisa it seem
 
Serikali isipo react kwenye hili wabakie tu kusema mtandao mtandao ipo siku watafikiri mapato yamepungua kwa sababu watu hawalipi kodi na kuanza msako wa nyumba kwa nyumba. System na wanaoiendesha hawana jipya. inatakiwa overhauling ya machinery nzima ya TRA system. waache mambo ya kuweka ndugu zao kwenye vitengo
 
Back
Top Bottom