TPDC wameshaanza kuita watu kazini

TPDC wameshaanza kuita watu kazini

ImageUploadedByJamiiForums1408549667.356137.jpg ImageUploadedByJamiiForums1408549680.442828.jpg


I'm an astronaut and my next mission is to explore Uranus.
 
hawajawafanyia fair, wameanza kuwaita wa mwezi wa nane badala ya wa mwezi wa tano! au wa mwezi wa tano wanaitwa kimya kimya?
 
hawajawafanyia fair, wameanza kuwaita wa mwezi wa nane badala ya wa mwezi wa tano! au wa mwezi wa tano wanaitwa kimya kimya?

Usihofu ukiitajika utaitwa tu,kwasasa hivi watu wa engineering ndio wanahitajika faster kwa sababu construction ndio inaendelea kwa sasa
 
wait a minute... mbona yale ya mwezi wa 5 hamna?
 
mkuu tutonye basi, hizo zilizobaki wataita lini? yaani hapa natembea na simu hadi chooni kama nitapigiwa nisimiss call, pressure juu

Mmh usiwe na presha kiasi hicho,usipopokea wanarudia mara nyingine bro
 
wanapima na ngoma? Mmmmh basi hiyo kazi sina
tmj wamesema kesho hawapimi,sijui kama ofisi ya tpdc inalijua hilo.jamaa wameenda leo wameambiwa kesho hakuna kupima mpaka j'mosi...
 
tmj wamesema kesho hawapimi,sijui kama ofisi ya tpdc inalijua hilo.jamaa wameenda leo wameambiwa kesho hakuna kupima mpaka j'mosi...

jamani tuwe serious! zile za mwezi wa tano nani kaitwa aje atoe ushuhuda hapa, tujue kabisa kama tumekosa
 
dah! basi watuambie tu nani kapata nani kakosa hata kama ofisi zitafunguliwa mwakani kuliko tunavochuniana hivi, yani wangejua wanavoniacha dailema alafu naumia sana dah!. ukizingatia post zingine wametoa mwezi wa saba, mwezi wa nane watu wameanza kazi.daaaaahhhh!
 
dah! basi watuambie tu nani kapata nani kakosa hata kama ofisi zitafunguliwa mwakani kuliko tunavochuniana hivi, yani wangejua wanavoniacha dailema alafu naumia sana dah!. ukizingatia post zingine wametoa mwezi wa saba, mwezi wa nane watu wameanza kazi.daaaaahhhh!

mkuu. naelewa machungu ulionayo. ila kuna mdau aliongelea wasi wasi wake kwamba tpdc yametokea kama ya uhamiaji nini?
 
Walioitwa ni ma Engineer na ma Technician nadhani wanatakiwa training ya haraka waliambiwa waende na passports,nafasi nyingine za wazee wa tai bado
 
Walioitwa ni ma Engineer na ma Technician nadhani wanatakiwa training ya haraka waliambiwa waende na passports,nafasi nyingine za wazee wa tai bado

passport size picha au hati ya kusafiria?
 
Back
Top Bottom