TPDC wameshaanza kuita watu kazini

TPDC wameshaanza kuita watu kazini

TPDC wameanza last wik kuita watu kazini waliofanya intv mwezi May mikochen. Wengi wa waliotwa ni upande wa engneering na walitakiwa kwenda kufanya medical checkup kabla ya j5 ya tar 20/8 pale tmj teyari kwa kuanza kazi J3 ya tar 25/8.

Asante kwa taarifa ndugu yangu.
Umepata fununu zozote kwa nafasi nyingine ni lini? Au utaratibu wao wa kuita upo vipi? Kama una clues tushirikishe ndugu yangu
 
Wametumia utaratibu gani wa kuwaita? Maana kwenye WEBSITE yao hawaja- POST kuitwa kazini. Thanks
 
Huwa wanakupigia simu kukupa habari. namba yao ni 0222200104
mkuu tutonye basi, hizo zilizobaki wataita lini? yaani hapa natembea na simu hadi chooni kama nitapigiwa nisimiss call, pressure juu
 
Ndugu yangu ameitwa yeye ni Petroleum Engineer na ameshapewa form ya medical na jumatatu ya trh 25 anatakiwa aanze kazi rasmi, Kwa kada zingine sina update wakuu.
 
Mimi nimeitwa kwa nafasi ya Plant Manager, nafanya medical check up.
 
Wadau
haya ni baadhi ya majina ya walioitwa kazini

Na kwa wale ambao walifanya interview mwezi wa tano, niliongea na ofisi ya HR akaniambia kuwa muda wowote kuanzia kesho majina yataachiwa hewani (website ya TPDC) na simu hivyo yote yana wezekana
 
Back
Top Bottom