wengiwengi
Member
- Jun 13, 2014
- 30
- 23
TPDC wameanza last wik kuita watu kazini waliofanya intv mwezi May mikochen. Wengi wa waliotwa ni upande wa engneering na walitakiwa kwenda kufanya medical checkup kabla ya j5 ya tar 20/8 pale tmj teyari kwa kuanza kazi J3 ya tar 25/8.