Tozo zimezidi na hawajali baada ya bungeni kujaa CCM

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,229
Watanzania tunaonekana wajinga ,hizi tozo inatukandamiza ,kutoa elfu 50,000 au labda umemtumia mwanafunzi au mgonjwa yaani inakatwa 4750 hela ambayo hii serikali ya CCM imeharibu Bei ya mazazo ,tozo ya hela thamani yake ni kilo 4 za unga wa dona au sembe ,kilo maharage nusu , au robo tatu ya nyama ya ng'ombe .


Hivi kwenye hii sakata lazima chadema waseme ?kwani wapinzani ndo wanakatatwa hizo tozo tu?unaposema tozo ya uzalendo tunajuaje mnapeleka kwenye uzalendo kwani ufisadi wa gharama gani ulifanywa kwenye hii nchi ?.

Kwahiyo Sasa hivi serikali ya CCM imeona Kodi za utalii na mbugani hazitoshi,kodi za biashara hazitoshi na Sasa wanataka kila mwananchi mwenye simu alipe kodi?.

Watanzania tumekuwa wajinga kila kitu chenye mantiki basi tunaweka kwenye mantiki za kisiasa ,au kwahiyo we mwenye cheo CCM unafaidika na ccm huna huruma na wenzako?
Tunakoenda hata hata tendo la ndoa na mke wako utalipia Kodi.

Hivi CCM hamna huruma kwa wananchi mbona mnatuongezea gharama za maisha na hampunguzi gharama za maisha?


Watanzania tuna maisha magumu Basi watu kina Mwigulu na Ndugulile wanaamua tu kutuumiza kwa tozo na vifurushi vya simu.
 
Dalili zinaonesha hizo tozo zitaendelea kuwepo, Mwigulu alikuwa anatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa leo.
 
Halafu wanahalalisha ujinga kwa kusema wanajenga vituo vya afya as if Kodi inayokusanywa huwa inatunzwa.viongozi tulionao ni shida sana ila wananchi tulio nao ndio matatizo zaidi.
Nashangaa kwa nini Magufuli alikuwa anatumia nguvu nyingi kwa Nchi yenye watu wajinga kiasi hiki.
 
Anaekutumia 50,000 anakatwa 2,770
Anaetoa 50,000 anakatwa 4,750

Jumla makato ni 7,520

(Serikali inachukua 4,100 na tigo 3,420)

Ref: tigopesa
 
Bora hizo tozo walau zitajenga shule ili watoto wetu wasome, zitajenga hospital ili tutibiwe, zitajenga barabara ili kurahisishia wafanya biashara hasa wa vijijini kufika mjini kwa wakati na kuuza bidhaa zao haraka iwezekanavyo. Wajinga ni sisi wabunge wa Chadema tuliokuwa tunakatwa hela kila mwisho wa mwezi ili zitusaidie katika uchaguzi mkuu na zingine zijenge makao makuu ya kisasa ya chama. Ila sasa mpaka leo makao makuu hayajajengwa, na pia katika uchaguzi mkuu tuliwachangisha wananchi masikini kana kwamba chama hakikuwa kinakusanya michango yetu. Wenye akili tumegundua kwamba hela zetu zimepigwa na mwenyekiti akishirikiana na genge lake. Sasa ndo tumeamini ule msemo usemao wajinga ndio waliwao

images (21).jpeg

Dada yetu anang'aa, huku makao makuu yetu yanapauka.
2528007_20200919_173148.jpg
 
Watanzania tunaonekana wajinga ,hizi tozo inatukandamiza ,kutoa elfu 50,000 au labda umemtumia mwanafunzi au mgonjwa yaani inakatwa 4750 hela ambayo hii serikali ya CCM imeharibu Bei ya mazazo ,tozo ya hela thamani yake ni kilo 4 za unga wa dona au sembe ,kilo maharage nusu , au robo tatu ya nyama ya ng'ombe .


Hivi kwenye hii sakata lazima chadema waseme ?kwani wapinzani ndo wanakatatwa hizo tozo tu?unaposema tozo ya uzalendo tunajuaje mnapeleka kwenye uzalendo kwani ufisadi wa gharama gani ulifanywa kwenye hii nchi ?.

Kwahiyo Sasa hivi serikali ya CCM imeona Kodi za utalii na mbugani hazitoshi,kodi za biashara hazitoshi na Sasa wanataka kila mwananchi mwenye simu alipe kodi?.

Watanzania tumekuwa wajinga kila kitu chenye mantiki basi tunaweka kwenye mantiki za kisiasa ,au kwahiyo we mwenye cheo CCM unafaidika na ccm huna huruma na wenzako?
Tunakoenda hata hata tendo la ndoa na mke wako utalipia Kodi.

Hivi CCM hamna huruma kwa wananchi mbona mnatuongezea gharama za maisha na hampunguzi gharama za maisha?


Watanzania tuna maisha magumu Basi watu kina Mwigulu na Ndugulile wanaamua tu kutuumiza kwa tozo na vifurushi vya simu.
Haa siku ambayo CCM walishajali, hata kama wapinzani wamejaa bungeni. Wanapiga kelele, baadaye yule kiumbe anawauliza waseme NDIYOOOOO!
 
Hongera kwa Watanzania wote kwa mafanikio ya kuchangia tozo ya Sh. Bilioni 48.
Hakika maendeleo hayana chama, tuijenge nchi yetu.
Chonde chonde tunawataka viongozi wetu wawe waadilifu na waaminifu ktk Fedha hizi za umma.
 
Kumbe nchi yetu inaweza kutoboa kwa hii tozo, kama mwezi mmoja tu na nusu tumechangia Billioni 48 sasa je tukienda mwaka mmoja si nchi yetu itapiga hatua kubwa sana ktk maendeleo!
Hongera kwa Watanzania wote kwa Uzalendo wa kweli.
Sasa tunawaomba viongozi wetu wazisimamie pesa hizi kwa umakini, isiliwe hata sh 1 au kutumiwa vibaya.
 
Watanzania tunaonekana wajinga ,hizi tozo inatukandamiza ,kutoa elfu 50,000 au labda umemtumia mwanafunzi au mgonjwa yaani inakatwa 4750 hela ambayo hii serikali ya CCM imeharibu Bei ya mazazo ,tozo ya hela thamani yake ni kilo 4 za unga wa dona au sembe ,kilo maharage nusu , au robo tatu ya nyama ya ng'ombe .


Hivi kwenye hii sakata lazima chadema waseme ?kwani wapinzani ndo wanakatatwa hizo tozo tu?unaposema tozo ya uzalendo tunajuaje mnapeleka kwenye uzalendo kwani ufisadi wa gharama gani ulifanywa kwenye hii nchi ?.

Kwahiyo Sasa hivi serikali ya CCM imeona Kodi za utalii na mbugani hazitoshi,kodi za biashara hazitoshi na Sasa wanataka kila mwananchi mwenye simu alipe kodi?.

Watanzania tumekuwa wajinga kila kitu chenye mantiki basi tunaweka kwenye mantiki za kisiasa ,au kwahiyo we mwenye cheo CCM unafaidika na ccm huna huruma na wenzako?
Tunakoenda hata hata tendo la ndoa na mke wako utalipia Kodi.

Hivi CCM hamna huruma kwa wananchi mbona mnatuongezea gharama za maisha na hampunguzi gharama za maisha?


Watanzania tuna maisha magumu Basi watu kina Mwigulu na Ndugulile wanaamua tu kutuumiza kwa tozo na vifurushi vya simu.
Mda wao umefika MWISHO , watavulumoshwa tu, wabunge wamekua na viburi maana wanajua wengi wao wapo pale KWA hisani ya viti mahalum ,wanajua hawana ridhaa ya wananchi, sie tulio na Mungu wetu Alie up to date tunaona,na tunajua ccm na watu wao kaisha wakataa ,wanalazimisha tu, huyo mama alikua NJIA sahii Sana ,ila Ndo hivyo tena,

Ushauri wa bure SSH japo najua hawezi elewa maana anaamini anao washauri wazuri kila idara anzia vyombo vya ulinzi but Mungu anamwambia sivyo anavyofikilia

SSH Rais , WENDA waichukulia swala la Mbowe Kama Jambo jepesi ,KWa kuaminishwa, ila sivyo,

MUNGU ANASEMA NA WEWE PITIA KWANGU NA SIKIA, MH MBOWE HATAKIWI KUWA HAPO ALIPO, NA IKIWA BASI NITAKWAMBIA ATUA INAYOFUATA,kazi njema
 
Kumbe nchi yetu inaweza kutoboa kwa hii tozo, kama mwezi mmoja tu na nusu tumechangia Billioni 48 sasa je tukienda mwaka mmoja si nchi yetu itapiga hatua kubwa sana ktk maendeleo!
Hongera kwa Watanzania wote kwa Uzalendo wa kweli.
Sasa tunawaomba viongozi wetu wazisimamie pesa hizi kwa umakini, isiliwe hata sh 1 au kutumiwa vibaya.
 
Kumbe nchi yetu inaweza kutoboa kwa hii tozo, kama mwezi mmoja tu na nusu tumechangia Billioni 48 sasa je tukienda mwaka mmoja si nchi yetu itapiga hatua kubwa sana ktk maendeleo!
Hongera kwa Watanzania wote kwa Uzalendo wa kweli.
Sasa tunawaomba viongozi wetu wazisimamie pesa hizi kwa umakini, isiliwe hata sh 1 au kutumiwa vibaya.
Tatizo mnafikili mtaendelea kua madarakani bila ridhaa ya wananchi ,hata KWA kuiba kura ,nyakati hubadilika ,angalia mafurushi ya kura fiki ya Zambia yaliyokutwa yamemwagwa bahada ya wananchi wa Zambia kataa kura feki ingia kwenye sanduku za kura,

Wtz ukiwasikiliza hawajakataa Makato bali wamekataa kiasi Cha Makato yaliyowekwa ni makubwa mno,

Sasa CCM shabikia ila elewa haya mazalau yenu Ndo kaburi lenu , siku watz watakataa KWa umoja wao msiingize kura feki kwenye masanduku ya kura Kama Zambia
 
K
Hongera kwa Watanzania wote kwa mafanikio ya kuchangia tozo ya Sh. Bilioni 48.
Hakika maendeleo hayana chama, tuijenge nchi yetu.
Chonde chonde tunawataka viongozi wetu wawe waadilifu na waaminifu ktk Fedha hizi za umma.
Kwenye hiyo bn48 kuna shilingi 20 yangu
 
Halafu wanahalalisha ujinga kwa kusema wanajenga vituo vya afya as if Kodi inayokusanywa huwa inatunzwa.viongozi tulionao ni shida sana ila wananchi tulio nao ndio matatizo zaidi.
Nashangaa kwa nini Magufuli alikuwa anatumia nguvu nyingi kwa Nchi yenye watu wajinga kiasi hiki.
Vituo vilivyopo vilikuwa vinajengwa kwa tozo zipi? Aisee tuna viongozi jipu
 
Back
Top Bottom