Toyota wish 2003 inauzwa (customized)

Toyota wish 2003 inauzwa (customized)

rasomaka

Senior Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
115
Reaction score
139
Habarini,

Ninauza gari yangu aina ya Toyota Wish ikiwa na maelezo yafuatayo;

YOM- 2003
Car: Toyota Wish
Colour- Black
CC: 1800
Gear: Auto
Fuel: Petrol
Doors: 5
Seats 7
Registration Tanzania: End of June 2013 (CLK)
Location: Dar es Salaam- Mbezi Beach

Gari ipo cutomized na Mziki mkubwa (Subwoofer, Busta, Twitter, CrossOver), Taa za HID za Fog kwenye bumper, Rims Original za gari, TV mbili mbele na nyuma zenye uwezo wa kupiga CD, USB, Memory Card, TV etc, Car Alarm, Comprehensive Insurance, Haidaiwi Road Licence, Body Kits. Ninauza kwa sababu nimeagiza gari nyingine na hivyo sihitaji kuwa na magari mawili kwa sasa. Napatikana kwa watsapp pekee 0656-994450 na meseji za kawaida tu.

Bei ya gari ikiwa na vitu vyote hivyo nilivyotaja bila tamaa ni Tsh 10,200,00/=. Picha zaidi za gari zimeambatanishwa kwa urahisi wa uangalizi wenu.

Shukrani na Karibuni

View attachment 227547 IMG_5284.JPGIMG_8490.JPGView attachment 227558IMG_8498.JPGView attachment 227556View attachment 227555IMG_8487.JPGView attachment 227553IMG_5280.JPGIMG_4446.JPGView attachment 227550View attachment 227549IMG_3814.JPGView attachment 227561
 
Mkuu rasomaka naomba nichukue nafasi hii kukushukuru na kukupongeza kwa kutoa tangazo lililo jitosheleza pamoja na viambatanishio(Attachments) , naomba wengine wenye kutoa matangazo yasiyokamilika ki maelezo waige mfano wako mkuu.:yo:
 
habarini,

ninauza gari yangu aina ya toyota wish ikiwa na maelezo yafuatayo;

yom- 2003
car: Toyota wish
colour- black
cc: 1800
gear: Auto
fuel: Petrol
doors: 5
seats 7
registration tanzania: End of june 2013 (clk)
location: Dar es salaam- mbezi beach

gari ipo cutomized na mziki mkubwa (subwoofer, busta, twitter, crossover), taa za hid za fog kwenye bumper, rims original za gari, tv mbili mbele na nyuma zenye uwezo wa kupiga cd, usb, memory card, tv etc, car alarm, comprehensive insurance, haidaiwi road licence, body kits. Ninauza kwa sababu nimeagiza gari nyingine na hivyo sihitaji kuwa na magari mawili kwa sasa. Napatikana kwa watsapp pekee 0656-994450 na meseji za kawaida tu.

Bei ya gari ikiwa na vitu vyote hivyo nilivyotaja bila tamaa ni tsh 10,200,00/=. Picha zaidi za gari zimeambatanishwa kwa urahisi wa uangalizi wenu.

Shukrani na karibuni

View attachment 227547View attachment 227560View attachment 227559View attachment 227558View attachment 227557View attachment 227556View attachment 227555View attachment 227554View attachment 227553View attachment 227552View attachment 227551View attachment 227550View attachment 227549View attachment 227548View attachment 227561
tshs 10.000.00/= ?
 
Back
Top Bottom