Toyota vitz 2011 inakula sana mafuta

Toyota vitz 2011 inakula sana mafuta

jey n

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
227
Reaction score
215
Wakuu habari za weekend, nina Toyota vitz 2011 1.3L inakula mafuta 8.8km/l.Je hii ni kawaida kwa gari ya aina hiyo kweli??
 
Wakuu habari za weekend, nina Toyota vitz 2011 1.3L inakula mafuta 8.8km/l.Je hii ni kawaida kwa gari ya aina hiyo kweli??
Weka bei kama unauza ? Ila jalbu kuchunguza kama ni 4x4 zipo izo zinakula sana mafuta na kuzingatia plugs original nk fuel filter nk
 
Nafikiri si kawaida.
Nina carina ti 1490cc
Safari za mjini napata 10-11km/ltr.
 
Back
Top Bottom