Toyota Premio inakimbia kuliko X- Trail new Model

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,744
Jamaa yangu huyu alikuwa na Nissain Xtrail ile new model. Akanunua na Toyota Premio kwa ajili ya Mkewe. Anasema kwa Uzoefu wake baada ga kuzitumia zote kwa safari ndefu amegundua Toyotw Premio (model ya kati ) inakimbia zaidi kuliko Nissan Xtrail.

Nlijiuliza IS IT POSSIBLE? on what basis? Akasisitiza Premio imetulia zaidi pia kuliko Xtrail ukiwa mwendo mkali barabarani.

Je, kama ni kweli nini kinaweza kuwa sababu?
 
Jamaa yangu huyu alikuwa na Nissain Xtrail ile new model. Akanunua na Toyota Premio kwa ajili ya Mkewe. Anasema kwa Uzoefu wake baada ga kuzitumia zote kwa safari ndefu amegundua Toyotw Premio (model ya kati ) inakimbia zaidi kuliko Nissan Xtrail....
It is possible, kwanza kutegemea na dereva na pia. Lakini siku zote gari za chini ni stable kuliko za juu na hivyo, dereva anakua makini kwa sababu ya madhara ya upepo na stability kutokana na balance ya Centre Of Gravity/Centroid!
 
Haya mambo ya sijui gari fulani inakimbia sana ni utoto wa chekechea na darasa la kwanza!Nilipokuwa chekechea ndiyo umri pekee ambao nilikuwa nashobokea gari kukimbia sana.

Ukimuona mtu mzima anashobokea magari kukimbia jua huyo ni punguani.Mtu mzima unapaswa uzungumzia mambo ya features za usalama,comfortability,durability ya gari, fuel economy, upatikanaji wa mafundi wa kisasa na kadhalika.
 
Haya mambo ya sijui gari fulani inakimbia sana ni utoto wa chekechea na darasa la kwanza!Nilipokuwa chekechea ndiyo umri pekee ambao nilikuwa nashobokea gari kukimbia sana.Ukimuona mtu mzima anashobokea magari kukimbia jua huyo ni punguani.Mtu mzima unapaswa uzungumzia mambo ya features za usalama,durability ya gari,fuel economy,upatikanaji wa mafundi wa kisasa na kadhalika.
Bado hujakua. Ukijua utagundua kila anayenunua gari kuna vitu anahitaji. Habari za mafundi na spares hivyo ni vitu ambavyo wengine si big deal. Anaona gari anauliza lina speed kiasi gani?from 0-100 inatumia sekunde au dk ngapi then anaamua. Ni utoto kudhani unachotaka wewe kwenye gari ndicho anachotaka na Ali. Ukikua utagundua priorities differ.

If i want a car i consider somethings kulingana na matumizi yangu. Ukifikia hatua ukakua ukapata gari au ukayafaham magari utakutana na watu kabla hajanunua gari anauliza lina HP ngapi au Engine yake ni size gani? Au lina turbo? Ndo wenye ulewa walivyo mwingine anataka lenye CC chache mwingine anataka lenye CC nyingi. Kama mademu. Mwingine anataka mwenye mzigo mwingine namba 1. Sasa wewe subiri ukue halafu uje uwe na uwezo wa kununua gari. Then njoo nikuelekeze.
 
Haya mambo ya sijui gari fulani inakimbia sana ni utoto wa chekechea na darasa la kwanza!Nilipokuwa chekechea ndiyo umri pekee ambao nilikuwa nashobokea gari kukimbia sana.Ukimuona mtu mzima anashobokea magari kukimbia jua huyo ni punguani.Mtu mzima unapaswa uzungumzia mambo ya features za usalama,durability ya gari,fuel economy,upatikanaji wa mafundi wa kisasa na kadhalika.
Mi nataka gari inayokimbia. Tena inakimbia vibaya mno.

Horsepower ndo kigezo cha kwanza kabisa kuangalia ninapotaka kununua gari.

Hayo mambo mengine hayapo kwa magari asilimia 90 ya bongo. Kwahiyo kusema lazima uangalie ni kujidanganya.

Hasa hizi gari za Japan, hazina safety feature yeyote.
 
me naona kila mtu abaki na chake,we baki na ukubwa wako na Chizi Maarifa/Bavaria abaki na utoto wake,period.
Hoja sahihi siyo kusema kila mtu abaki na chake.Hoja sahihi ni kila mtu abaki na kilicho sahihi.Kwani kwa mfano kama Juma kilicho chake barabarani ni kuona fahari kugonga wenzake kwa gari lake tunaweza kusema kuwa abaki na chake?

Hatuwezi kusema kuwa abaki na chake kwa sababu tabia yake hiyo inaumiza wengine. Pia hii tabia ya kitoto ya mtu kusema na kujinadi kuwa "leo nimetumia Subaru yangu kuikimbiza Prado hadi imesalim amri!",pia hatuwezi kusema mtu kama huyu abaki nayo kwa sababu ni tabia ambayo inaweza kusababisha ajali na kuumiza wengine.
 
Juzi-kati nimetoka DAR saa 7 usiku na nimeingia Dodoma saa 1 asubuh na Toyota rumion nakumbuka kipande cha kutoka Dodoma kuitafuta singida nimewapa adabu na adhabu madereva wa IST,raum,wish,rush na spacio.

Aisee kama Kwenye suala la balance basi rumion iko vizuri Sana hii ndinga ni balaa nilikuwa naenda Hadi speed 170 km/h na gari iko stable.

Nissan X trail nimefukuzana nayo kipande cha shelui kuitafuta nzega hii gari ni ya kawaida Sana njiani mara nyingi jamaa alikuwa ananipita Kwenye vibao vya 50
 
Kutokimbia kwa hizi gari kunatofautiana na mambo mengi ya kiufundi, zote ziwe mpya au 2nd hand.

hapa zimeshindanishwa gari za Kampuni tofauti Nissan na Toyota.

hapa imeshindanishwa Saloon car kwa SUV hapo kwenye Offroad na makorongo mmoja ataachwa.

kiujumla gari mbovu kiufundi, km kuchemsha bearing, civo joint, hata tairi kukosa kashata tairi hazitaweza shindana kwenye lami au njia ndefu.

Ila km kukimbia kwenye lami muda mrefu km Dar Mwanza Nissan Exrail itaachwa
 
Kutokimbia kwa hizi gari kunatofautiana na mambo mengi ya kiufundi, zote ziwe mpya au 2nd hand
hapa zimeshindanishwa gari za Kampuni tofauti Nissan na Toyota....
Zote ni Japan 2nd hand. Hazijapishana sana kununuliwa na ilianza Toyota Premio. Na jamaa anasema kwenye high road safari ya kukata mikoa. Kwenye lami. Tairi zote ni nzuri.
 
Hoja sahihi siyo kusema kila mtu abaki na chake.Hoja sahihi ni kila mtu abaki na kilicho sahihi.Kwani kwa mfano kama Juma kilicho chake barabarani ni kuona fahari kugonga wenzake kwa gari lake tunaweza kusema kuwa abaki na chake?...
Mi nakwambia. Ukikua utaelewa. Wewe penda unachopenda kwneye gari na mwingine atapenda anachopenda. Wengine kuendesha ni hobby pia so anataka zaidi ya usafiri. Kuna vitu vya pekee anaweza taka kwenye gari.
 
Back
Top Bottom