Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Jamaa yangu huyu alikuwa na Nissain Xtrail ile new model. Akanunua na Toyota Premio kwa ajili ya Mkewe. Anasema kwa Uzoefu wake baada ga kuzitumia zote kwa safari ndefu amegundua Toyotw Premio (model ya kati ) inakimbia zaidi kuliko Nissan Xtrail.
Nlijiuliza IS IT POSSIBLE? on what basis? Akasisitiza Premio imetulia zaidi pia kuliko Xtrail ukiwa mwendo mkali barabarani.
Je, kama ni kweli nini kinaweza kuwa sababu?
Nlijiuliza IS IT POSSIBLE? on what basis? Akasisitiza Premio imetulia zaidi pia kuliko Xtrail ukiwa mwendo mkali barabarani.
Je, kama ni kweli nini kinaweza kuwa sababu?