Car4Sale Toyota Prado TX for sale

Idimi

JF-Expert Member
Mar 18, 2007
14,971
10,465
Nauza Toyota Prado
Model: E-RZJ95W
Ukubwa wa jiko (injini) cc 2690
Rangi nyeusi
Inatumia petroli
Imetembea km 200,000
Imetumika muda mfupi sana hapa Tanzania
Gari ipo Dar Es Salaam
Bei: 22m. Maongezi yapo
Mawasiliano: 0763 966782
Karibuni sana

bc63e92da597a177dd56e368dd0da752.jpg

d05be0a080848a303ac2a45bba614b11.jpg

d07afbb65514efadd647907f24cb0210.jpg

1021e14c3ad9e07c008b4db91aaf7bc0.jpg

fea69d6298241667aa4ae2a70d14cd8e.jpg

f09ba2bddc7891c76cfffdee19d7b781.jpg

eec8e576f4f496d3028761960600d234.jpg

eade9c7764f33a711e522f32f4cc80b9.jpg

fa91889e07ba023ec4599c0b602367ea.jpg
 
Kwa hiyo bei umenimotivate na mm niagize la kwangu Japan next yr, kumbe inaonekana nikiwa na 25m ntavuta kitu kikali saaanaaa......
 
Kwa hiyo bei umenimotivate na mm niagize la kwangu Japan next yr, kumbe inaonekana nikiwa na 25m ntavuta kitu kikali saaanaaa......
Kiaina. Ila shida iko pale TRA, makadirio ya kodi kwa saa yako juu sana mkuu
 
ok swali limelenga
1 gari haina shaka - maan na picha umeweka labda mtu afanye fujo tu
2 je Bei unaanzia ngapi ku bargain?
3. contacts ? au PM hapa hapa?
 
ok swali limelenga
1 gari haina shaka - maan na picha umeweka labda mtu afanye fujo tu
2 je Bei unaanzia ngapi ku bargain?
3. contacts ? au PM hapa hapa?
Hapo nimekuelewa mkuu. Contact nimeweka hapo juu mwanzoni mwa thread. Unaweza kunipigia au sms ama ukaja PM, unieleze una kiasi gani, ili tuongee. Hakuna kinachoshindikana.
 
Swali umenunua hapa au japan....?namba D km 200000?mbona ina rangi ya marudio au ilishawai kupatwa na ajali tupe maelezo ya kina.
 
Swali umenunua hapa au japan....?namba D km 200000?mbona ina rangi ya marudio au ilishawai kupatwa na ajali tupe maelezo ya kina.
Imenunuliwa Japan moja kwa moja. Haina historia ya ajali.
 
Imenunuliwa Japan moja kwa moja. Haina historia ya ajali.
Mkuu kwa picha inaonekana rangi imerudiwa pili kwa namba D km laki mbili huwezi kuagiza labda ujui mambo ya magari maana cif ni usd 5000 hadi 7 je ushuru usd 9000 we acha utani na magari labda wewe ni dalali na ujui imeagizwa wapi bottom line.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom