i411
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 906
- 290
Toyota Mark X nataka kujuwa zaidi kwa wale wengine wanazozitumia kama kuna common changamoto wanazokutana nazo zaidi ya kujaza full tank Ltrs 70 na uchumi wa sasa. Kwenye kuitumia kwa matumizi ya kila siku nini kinajitokezaga mbeleni. Juzi tuu nilienda kwa fundi wangu nayemuamini akaniambia hii kitu ikikwama porini usiniite, nikuvuta tuu mANake parts zimefichwa sana kwenye engine mpaka kukifikia kama ni kitu kikizingua na jinsi ilivyo chini.