Toyota mark ii gx 110 inauzwa

Toyota mark ii gx 110 inauzwa

manyaunyau

New Member
Joined
Mar 28, 2008
Posts
3
Reaction score
0
Wanajamvi
Nimeamua kurudi kijijini kulima kuondokana na joto la jijini hapa hivyo nauza kagari kangu TOYOTA MARK II GX 110
Bei ni Ml.7.8, Namba ni T 204 BEJ
Mteja serious anicheki ktk namba 07 86 29 45 45
Shukrani
 
Wanajamvi
Nimeamua kurudi kijijini kulima kuondokana na joto la jijini hapa hivyo nauza kagari kangu TOYOTA MARK II GX 110
Bei ni Ml.7.8, Namba ni T 204 BEJ
Mteja serious anicheki ktk namba 07 86 29 45 45
Shukrani

Mkuu, hiyo bei ni nzuri, mashine ni ya mwaka gani? Itupie hapa http://www.facebook.com/groups/cardeals.tz/
Like page, kisha tupia tangazo lako na pictures kadhaa utaona response!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom