Toyota ist

Toyota ist

chayowa

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
413
Reaction score
112
Hi wakuu, Vipi kuna wataalamu wa IST? zikoje services zake na ulaji wa mafuta? je uimara? ahsanteni
 
mm nnayo kama mwezi wa 3 huu, service naona ya kawaida, japo kuwa cjapata tatizo kubwa, ulaji wa mafuta ni mzuri, buku 5 natembelea kutwa, pia iko very comfortable katika uendeshaji, you will love it, not to mention ina nafasi ya kutosha ndani.
 
mm nnayo kama mwezi wa 3 huu, service naona ya kawaida, japo kuwa cjapata tatizo kubwa, ulaji wa mafuta ni mzuri, buku 5 natembelea kutwa, pia iko very comfortable katika uendeshaji, you will love it, not to mention ina nafasi ya kutosha ndani.

Ahsante mkuu. Hujainote bado km/l?
 
Ni nzuri sana ukitaka kujua ulaji wake wa mafuta ni mzuri sana kwani ina CC 1920 na aina nyingine cc 1920 2nz.

Na zinapendwa sana na akina mama huku kwetu kwa ajili ya safari zao za hapa na pale. Sio mzuri kwa safari ndefu.
 
swift ina 1.5 ambayo sawa na cc 1300 kama sikosei
 
service iko normal ila inatetegemea na wewe unataka kufanyia wapi na oil ipi ama oilfilter ipi, nk, ila kawaida sana, spare part zake bado zina ghalama kwa sababu ndio zimetufikia sisi huku. Mfano taa za nyuma zina gharama sana. Ila ni gari nzuri kwa mafuta inatumia vizuuri zaidi.
 
nilitoka dar asubuh saa 11mwanza
nikafika saa2night

uliharibikia sehemu gani?au ndo ulipitia kibaigwa kupaka rangi nyumba ya mratibu ile.
maana kuna jamaa alipaki pale na ist,alikuwa anatoka dar>mza.
 
Ni nzuri sana ukitaka kujua ulaji wake wa mafuta ni mzuri sana kwani ina CC 1920 na aina nyingine cc 1920 2nz.

Na zinapendwa sana na akina mama huku kwetu kwa ajili ya safari zao za hapa na pale. Sio mzuri kwa safari ndefu.

Acha Urongo hakuna ist yenye engine kubwa ya cc 1920 hyo engine itakaaje hizo labda ni gx 100 zina 1G ambazo cc 1990, kama hujui nyamaza, ni 1290 cc au cc 1490 kuna 1NZ AU 2NZ
 
Ila inabidi uwe na bastola pia maana vibaka hawachukia hata dakika 10 unaikuta limebaki body tu
 
Ist ni nzuri sana.. Cc1400 na kidogo.. Kwa safari Za mjini unaeza kuweka mchemsho wa samaki badala ya petrol..
 
Acha Urongo hakuna ist yenye engine kubwa ya cc 1920 hyo engine itakaaje hizo labda ni gx 100 zina 1G ambazo cc 1990, kama hujui nyamaza, ni 1290 cc au cc 1490 kuna 1NZ AU 2NZ
Ahsante mkuu.....Ipi safi zaidi 1NZ au 2
 
nadhani kuna 1ST zina mpaka engine za cc990, please be careful kuhusu mileage.....kwa gari ndogo kama hii ukitaka kuifurahia hakikisha ni less than 50,000km. fuel consumption inarange kuanzia 14km/l(speed 1-35km/Hr) hadi 18km/l kutegemeana upo town au njia ndefu (high way no traffic kwa speed ya 50-100km/Hr) ukiwa umewasha A/C ukitaka kuagiza nione mimi, nitakuchaji US$ 150 tu kwa kazi yote hadi unashika mkononi.
 
nadhani kuna 1ST zina mpaka engine za cc990, please be careful kuhusu mileage.....kwa gari ndogo kama hii ukitaka kuifurahia hakikisha ni less than 50,000km. fuel consumption inarange kuanzia 14km/l(speed 1-35km/Hr) hadi 18km/l kutegemeana upo town au njia ndefu (high way no traffic kwa speed ya 50-100km/Hr) ukiwa umewasha A/C ukitaka kuagiza nione mimi, nitakuchaji US$ 150 tu kwa kazi yote hadi unashika mkononi.

990 cc hiyo ni vitz na duet..... IST iko ya 1290 na 1490 baaaas.......
 
Back
Top Bottom