Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,510
- 9,349
HahahahaaAlafu Madereva wengi wa I.S.T wanapenda Sana league barabaran sielewi TATIZO Lao ni nini.
Nikiwa barabaran huwa nacheka Sana jinsi wanavyohangaika
Hahaha...inawezekana...maana wadada wanazipenda sanaHahahahah sasa anamaindi nini au kaporwa hawara wake kwa chambo ya IST
Hahah shida ukiziita gari za ma shawty utachukiwa balaa.Hahaha...inawezekana...maana wadada wanazipenda sana
.....mtu wa rangerover anaweza akakataliwa wa ist akachukua mzigo
Hapa nimeshachukiwa sanaHahah shida ukiziita gari za ma shawty utachukiwa balaa.
hawajiaminiAlafu Madereva wengi wa I.S.T wanapenda Sana league barabaran sielewi TATIZO Lao ni nini.
Nikiwa barabaran huwa nacheka Sana jinsi wanavyohangaika
Nyingi mjini utafikiri wale kunguru wa Zanzibarhawajiamini
Khaaa...haya maneno yanazidi kuwapa tabu wazee wa IstNyingi mjini utafikiri wale kunguru wa Zanzibar
Cheap running costs ndiyo inafanya imilikiwe sanaCity cruizer, acha zipigwe dongo zinapngezeka kwa wingi na ni rahisi kuziudumia.
hii gari naikubali ila saresare ndo shida.
Me sipendi tu kale ka dash board kalivyowekwa katikati...Imekuwa kama uniform
Kwa hiyo sasa tuzifanyeje
Me sipendi tu kale ka dash board kalivyowekwa katikati...
hata ukimpa mama mkwe lifti, anasoma gauge za mafuta, speed na rpm....
Anaona huyu fala nimempa binti yangu halafu mshale wa mafuta umelala kwenye E..
Kuna baadhi ya gari ni dereva tu ndio anasoma kama vile Voltz