Je ulaji wa hii Ist AWD upo sahihi?

Status
Not open for further replies.

Call m3 Anwar

JF-Expert Member
Apr 16, 2018
276
454
Habari zenu wakuu na wapenzi wa jukwaa hili. Niende kwenye mada, Kuna hii Toyota IST 2005 ambayo ni 4wd ama AWD model code NCP 65, 1.5L. Hii gar ilifanikiwa kufanyiwa usajili mwaka jana mwezi wa Pili mpaka sasa ina mwaka naa hapa bongo. Ilikuja ikiwa na km 150,000+ hv na mpaka sasa zimeongezeka km 20,000 Kwenye odometer inasoma 170,000+.

Kilichonifanya kuandika uzi huu ni kuuliza wazoefu wa hivi vyombo je gari ya aina hii inakuwaga na fuel consumption ipi kwa matumizi ya mjini tu. Kwa maana hii gari matumizi yake imekuwa tofaut na nadharia yetu kwamba hii gar huwa na consumption nzuri kwa mjini. Hii kitu ikiwekwa full tank (nadhani ni kati ya lita 40 - 45) ambapo kudrive kwa safari za mjini tu huwa inatoa umbali wa Km 350 maximux, yaani kwa maana lita 1 inatoa umbal wa wastani wa km 8. Huwa najiulizaga mbona ni kama inapoteza ila sifa yake ya kutumia mafuta vizur hata kama ni AWD mbona consumption yake inazikaribia gari zenye 2.5L. Je ndio kawaida ya hizi gari ama kuna tatizo mahala, kama kuhusu service huwa inazingatiwa sana na gar haina safar ndefu kabisa Full tank inaweza kaa wiki hata zaid. Je pia wamiliki wa gar zenye cc above to 2.5L kama kina crown huwa mnapata fuel consumption ipi?

Pichani ni mfanano wa gari ninayoiongelea
Screenshot_20220218-203346~2.jpg
 
Habari zenu wakuu na wapenzi wa jukwaa hili. Niende kwenye mada, Kuna hii Toyota IST 2005 ambayo ni 4wd ama AWD model code NCP 65, 1.5L. Hii gar ilifanikiwa kufanyiwa usajili mwaka jana mwezi wa Pili mpaka sasa ina mwaka naa hapa bongo. Ilikuja ikiwa na km 150,000+ hv na mpaka sasa zimeongezeka km 20,000 Kwenye odometer inasoma 170,000+.

Kilichonifanya kuandika uzi huu ni kuuliza wazoefu wa hivi vyombo je gari ya aina hii inakuwaga na fuel consumption ipi kwa matumizi ya mjini tu. Kwa maana hii gari matumizi yake imekuwa tofaut na nadharia yetu kwamba hii gar huwa na consumption nzuri kwa mjini. Hii kitu ikiwekwa full tank (nadhani ni kati ya lita 40 - 45) ambapo kudrive kwa safari za mjini tu huwa inatoa umbali wa Km 350 maximux, yaani kwa maana lita 1 inatoa umbal wa wastani wa km 8. Huwa najiulizaga mbona ni kama inapoteza ila sifa yake ya kutumia mafuta vizur hata kama ni AWD mbona consumption yake inazikaribia gari zenye 2.5L. Je ndio kawaida ya hizi gari ama kuna tatizo mahala, kama kuhusu service huwa inazingatiwa sana na gar haina safar ndefu kabisa Full tank inaweza kaa wiki hata zaid. Je pia wamiliki wa gar zenye cc above to 2.5L kama kina crown huwa mnapata fuel consumption ipi?

Pichani ni mfanano wa gari ninayoiongeleaView attachment 2130248
Kuna shida mahali,nikifananisha na kimeo changu cha 2000c.c..
Ni kama tuko sawa

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Ninachokifahamu mimi kuhusu hivyo Vigari vya 4wd vikishaaaanzaga kuwa na Oddo above 150+ hayo ndio huwa majanga yake ya kupiga weseee .
Otherwise angalia vitu vifuatavyo
1. Nozel
2.Plug
Kama vitu hivyo vipo sawa basi nakushauri kaweke sokoni then kamata ingine ya CC 1290 utakula Bata mnoooo mjini hapo.
Kama umechoka IST chukua Toyota Porte ya CC 1290 ile ya mwaka 2008 au 2009 hutojutiaaaa
Shukrani sana mkuu, itabidi vichekiwe hivyo vitu
 
Ist inayokula wese vizuri iwe na cc 1290 na isiwe AWD au 4WD

RRONDO aione kwa ushauri zaidi
Mwanzo kabla ya kuja hii kulikuwa na ractic 1290cc, hii ilikuwa stressless na ikaleta experience nzuri tu baadae ikauza na kuja hii IST.

Mkuu RRONDO swali langu ni je nikiamua kushift kuja kwenye Crown fuel consumption yake itapumgua zaidi ama itarange katika maeneo ya karibu na hayo?
 
Habari zenu wakuu na wapenzi wa jukwaa hili. Niende kwenye mada, Kuna hii Toyota IST 2005 ambayo ni 4wd ama AWD model code NCP 65, 1.5L. Hii gar ilifanikiwa kufanyiwa usajili mwaka jana mwezi wa Pili mpaka sasa ina mwaka naa hapa bongo. Ilikuja ikiwa na km 150,000+ hv na mpaka sasa zimeongezeka km 20,000 Kwenye odometer inasoma 170,000+.

Kilichonifanya kuandika uzi huu ni kuuliza wazoefu wa hivi vyombo je gari ya aina hii inakuwaga na fuel consumption ipi kwa matumizi ya mjini tu. Kwa maana hii gari matumizi yake imekuwa tofaut na nadharia yetu kwamba hii gar huwa na consumption nzuri kwa mjini. Hii kitu ikiwekwa full tank (nadhani ni kati ya lita 40 - 45) ambapo kudrive kwa safari za mjini tu huwa inatoa umbali wa Km 350 maximux, yaani kwa maana lita 1 inatoa umbal wa wastani wa km 8. Huwa najiulizaga mbona ni kama inapoteza ila sifa yake ya kutumia mafuta vizur hata kama ni AWD mbona consumption yake inazikaribia gari zenye 2.5L. Je ndio kawaida ya hizi gari ama kuna tatizo mahala, kama kuhusu service huwa inazingatiwa sana na gar haina safar ndefu kabisa Full tank inaweza kaa wiki hata zaid. Je pia wamiliki wa gar zenye cc above to 2.5L kama kina crown huwa mnapata fuel consumption ipi?

Pichani ni mfanano wa gari ninayoiongeleaView attachment 2130248
Lita 1 kwenda 8km kwa gari ya IST ya cc1500 ni matumizi makubwa. Hizo ni namba za Crown cc2500 tena mwenye Crown akiwa na discipline anapata km nyingi zaidi. Kuna tatizo mahali si kawaida.
 
Mwanzo kabla ya kuja hii kulikuwa na ractic 1290cc, hii ilikuwa stressless na ikaleta experience nzuri tu baadae ikauza na kuja hii IST.

Mkuu RRONDO swali langu ni je nikiamua kushift kuja kwenye Crown fuel consumption yake itapumgua zaidi ama itarange katika maeneo ya karibu na hayo?
Crown ya cc2500 ita-range humo humo au bora kidogo ukiwa muendeshaji mzuri.
 
Lita 1 kwenda 8km kwa gari ya IST ya cc1500 ni matumizi makubwa. Hizo ni namba za Crown cc2500 tena mwenye Crown akiwa na discipline anapata km nyingi zaidi. Kuna tatizo mahali si kawaida.
Hata mimi nafikiria itakuwa kuna tatizo, kwa kuwa bado inadai sana na kutokana na kupendwa kwake, ngoja atafutwe wa kuangushiwa jumba bovu
 
Kms 170,000 inadai? You must be joking! Kama in alikuwa V8 sawa ila vigari vidogo cc 1,000 hadi 1,500 kikiwa zaidi ya 100,000 ni majanga. Kumbuka zamani ndiyo ulikuwa wakati wa kubadili timing belt/chain. Jamaa acha kuji console bure
 
Habari zenu wakuu na wapenzi wa jukwaa hili. Niende kwenye mada, Kuna hii Toyota IST 2005 ambayo ni 4wd ama AWD model code NCP 65, 1.5L. Hii gar ilifanikiwa kufanyiwa usajili mwaka jana mwezi wa Pili mpaka sasa ina mwaka naa hapa bongo. Ilikuja ikiwa na km 150,000+ hv na mpaka sasa zimeongezeka km 20,000 Kwenye odometer inasoma 170,000+.

Kilichonifanya kuandika uzi huu ni kuuliza wazoefu wa hivi vyombo je gari ya aina hii inakuwaga na fuel consumption ipi kwa matumizi ya mjini tu. Kwa maana hii gari matumizi yake imekuwa tofaut na nadharia yetu kwamba hii gar huwa na consumption nzuri kwa mjini. Hii kitu ikiwekwa full tank (nadhani ni kati ya lita 40 - 45) ambapo kudrive kwa safari za mjini tu huwa inatoa umbali wa Km 350 maximux, yaani kwa maana lita 1 inatoa umbal wa wastani wa km 8. Huwa najiulizaga mbona ni kama inapoteza ila sifa yake ya kutumia mafuta vizur hata kama ni AWD mbona consumption yake inazikaribia gari zenye 2.5L. Je ndio kawaida ya hizi gari ama kuna tatizo mahala, kama kuhusu service huwa inazingatiwa sana na gar haina safar ndefu kabisa Full tank inaweza kaa wiki hata zaid. Je pia wamiliki wa gar zenye cc above to 2.5L kama kina crown huwa mnapata fuel consumption ipi?

Pichani ni mfanano wa gari ninayoiongeleaView attachment 2130248
Ulaji wake wa mafuta kwa trip za mjini ni kama wa gari langu lenye 2,500 cc
 
Gari ikishafikisha 100,000 unatakiwa ubadili timing belt, idler pulley, bearing zake, water pump, top cover gasket, etc...watu hawaelewi kabisa juu ya service za gari kwa kufuata kilometer wao ni kupiga gia tuu hadi vyma visuguane
Mleta mada fuata muongozo...
 
Kms 170,000 inadai? You must be joking! Kama in alikuwa V8 sawa ila vigari vidogo cc 1,000 hadi 1,500 kikiwa zaidi ya 100,000 ni majanga. Kumbuka zamani ndiyo ulikuwa wakati wa kubadili timing belt/chain. Jamaa acha kuji console bure
Mkuu hii gari imekuja na Km OG, hv unadhan hizi gari zinazouzwaga mjini hapa km zake ni halisi, jaribu kufatilia moja wa uzi wake kuhusu uhalali wa hizo km. Body safi na engine iko vyema. Ukitoa ule ulaji wake wa mafuta, hii kitu ingekuwa na ndoa kabisa
 
Gari ikishafikisha 100,000 unatakiwa ubadili timing belt, idler pulley, bearing zake, water pump, top cover gasket, etc...watu hawaelewi kabisa juu ya service za gari kwa kufuata kilometer wao ni kupiga gia tuu hadi vyma visuguane
Katika kufatilia moja ya topic katika jukwaa hili niliona comment ya mtu akisema kwamba Japan wanasheria hiyo kwamba gari ikishafikisha kms hizo inatakiwa kufuata utaratibu huu, So kama ni kwel basi naassume hata hii pia ilifanyia service ya vigezo hivyo ilipokuwa huko, ama nimepotea?
 
Katika kufatilia moja ya topic katika jukwaa hili niliona comment ya mtu akisema kwamba Japan wanasheria hiyo kwamba gari ikishafikisha kms hizo inatakiwa kufuata utaratibu huu, So kama ni kwel basi naassume hata hii pia ilifanyia service ya vigezo hivyo ilipokuwa huko, ama nimepotea?
Gari inayotoka Japan mara nyingi pale kwenye mlango wa dereva yanapokaa maandishi ya rim na spare tairi kama gari ilifanyiwa service utaona hapo hata aina ya oil iliowekwa na ilikua na km ngapi pia pale mbele kwenye timing belt kama ilikua replaced utaona imeandikwa replaces at km xxxxx kwaio usifanye assumption wewe fanya service mkuu pia unatakiwa ujue gari ilishatembea umbali fulani kuna vitu vinatakiwa vibadilishwe..vinaitwa service kit...hivyo hua nashangaa mtu anajidai ooh nina Vitz, Passo, IST matumizi madogo etc...yani ukishamiliki gari lazima mfuko utoboke kuliweka kwenye shape yake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom