Mr. Masasi
Member
- May 12, 2011
- 53
- 4
Toyota estima inauzwa na autorec dola 1780 au shligi 2,848,000 iko japan. Hivi garama ni pamoja na usafiri wa kuileta huku tanzania au? Harafu nisaidieni mchanganuo wa kodi zetu wa kuingiza gari hapa tz, gari imetengezwa mwaka 2002 engine ni cc 2500. Je kwa kuwa imetumika na inauzwa bei nzur huko japan kabla TRA hawajachukua kodi yao, inawezekana ikawa ghari sana? Nisaidieni, thank