Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,417
- 191,580
Sio kwa Crown mzee, inatumia double wishbone setup kama akina benz tu na iko stable balaahuwa napenda watekenya watu wa crown 😂😂😂😂😂 maana unawapita halafu unawaacha ... mjerumani ukishapita 180 gari i anakuwa stable balaa yani hapo mjapana gari yake inayumba roho mkononi