haina tatizo the best car i ever seen .....niko nayo mwezi wa tatu sasa ina cruise vibaya sana ...yaani ijumaa iko dar usiku napiga ulanzi iringa jtatu iko dar.....very nice car .....labda tatizo lake kubwa ni kuwa inakimbia sana
Daaa sio mchezo na nilikuwa nafikiria sana kununua kama hii sasa upande wa wese inakuwaje mkuu maana ni 2000cc hapo inakula sana au kawaida tu??
Daaa sio mchezo na nilikuwa nafikiria sana kununua kama hii sasa upande wa wese inakuwaje mkuu maana ni 2000cc hapo inakula sana au kawaida tu??