Toyota altezza inauzwa

Toyota altezza inauzwa

niseme tu kwamba ubishi unaouleta hauna afya. Haujengi
Una afya kwa dalali asiye na uelewa, anaweza kujifunza mawili matatu ya branding kwenye dunia ya biashara. TOYOTA hawajasema gari yao imefungwa engine ya kampuni ya piki piki, huyu yeye anadhani YAMAHA ni selling point kwa gari ya TOYOTA. Mbona wenyewe wawili TOYOTA na YAMAHA hawakusema?

Ameitoa wapi hiyo taarifa? Amejuaje engine ya Alteza ni ya YAMAHA ?
 
Una afya kwa dalali asiye na uelewa, anaweza kujifunza mawili matatu ya branding kwenye dunia ya biashara. TOYOTA hawajasema gari yao imefungwa engine ya kampuni ya piki piki, huyu yeye anadhani YAMAHA ni selling point kwa gari ya TOYOTA. Mbona wenyewe wawili TOYOTA na YAMAHA hawakusema?

Ameitoa wapi hiyo taarifa? Amejuaje engine ya Alteza ni ya YAMAHA ?
Nashindwa nikupatie jina gani. Ni nani alikuambia yamaha ni kampuni ya pikipiki tu??
Yamaha ni kampuni inayotengeneza producta za aina mbalimbali, na ukatolewa mfano kuwa wanatengeneza hadi vinanda.
Yamaha anatengeneza engines kwa baadhi ya magari ya toyota, Ford na volvo
Unataka ueleweshwaje??
 
Nashindwa nikupatie jina gani. Ni nani alikuambia yamaha ni kampuni ya pikipiki tu??
Yamaha ni kampuni inayotengeneza producta za aina mbalimbali, na ukatolewa mfano kuwa wanatengeneza hadi vinanda.
Yamaha anatengeneza engines kwa baadhi ya magari ya toyota, Ford na volvo
Unataka ueleweshwaje??
Mke wa huyu jamaa ana tabu sana
 
Wewe ni mgeni wa magari, Kwa mtu anayeijua altezza wala asingeuliza hili swali.

Wewe unajua kila gari duniani? Altezza sio gari ya rika langu, sikuwahi kulifuatilia.

Ndio nimelijua zaidi leo, kumbe linapiga makelele kwa kuwa lina engine ya kampuni ya amplifier za sauti, vinanda na piki piki.

Kitu ambacho, kama ni kweli ina engine ya piki piki, TOYOTA wenyewe hawaaniki hicho kitu hadharani.

Wanasema imetengenezwa na TOYOTA MOTOR CORPORATION. Kwishney!
 
Huyu jamaa anayejiita dalali Jugo kadhamiria kunidhuru,kaweka namba zangu na picha zangu hapa,mpaka sasa nimepokea sim 5 za vitisho na matusi.Ukifatilia conversation yeye ndo kaanza kuniita mimi mpumbavu,nami nikampa haki yake..iweje yy akimbilie kupost mawasiliano yangu pamoja na picha zangu humu? Bila ridhaa yangu?! Angefanyiwa yy angeridhika?!Yote kwa yote yeye anamaguvu na kwel ameahidi kunifanyia kitu kibaya..mpaka sasa usalama wangu upo mikononi mwake,endapo nitadhurika atakua anahusika asilimia zote.
Ukikua utaacha..
 
Umejuaje engine ya Alteza imetengenezwa na YAMAHA ?

Kuna chapa ya YAMAHA ?

Prove it!
Mzee sema we mbishi sana aisee

Hukubali kushindwa
Screenshot_20201231-220147~3.jpg
 
Kwameh is the winner! Bravo ,bravo.mkuu acha kila mtu ajue anavyojua,utapasuka kichwa bure
Anhaaaa, okay basi nadhani tumeyamaliza ya Altezza na engine ya boda boda....

Na yule mwenye SUBARU yenye engine ya BOXER nadhani ameshaitoa sokoni, tuko salama mtaani sasa.
 
Kuna watu hawataki mchezo. Muheshimiwa spark Bado anaugulia maumivu yaani amepigwa KO ya hatari.


Sema vijana tuwe na adabu tuheshimu shughuli za watu.
Inabidi tuheshimu mtazamo wako pia! Mimi nipo fiti mtanange uendelee!! Ila msije kulia lia apa na kutia huruma.
 
Hapo umefanya kosa kubwa sana katika maisha yako. Kumbuka una namba zako humu, hivyo ni tayari unajulikana.
Ikatokea kwa bahati mbaya huyo jamaa akadhurika na mtu mwingine au tu ikatokea kakutana na vibaka wakataka kumpora simu akagoma wakaamua kumuua, jua wewe ndio utaenda kujibu kwa kuwa itaonekana wewe ndio uliepanga hilo tukio.
Kuna makosa madogo sana huwa yanaenda kugharimu maisha ya watu.
Ukishaweka mawasiliano yako kwenye social media, basi kaa mbali kabisa na vitisho kwa watu. Na kama kuna comment itakukera basi achana nayo, we endelea na kazi zako.
Nimekushauri hayo kwa kuwa kuna watu wengi hivi vitu vya kutishia vimewagharimu
Huyu jamaa anayejiita dalali Jugo kadhamiria kunidhuru,kaweka namba zangu na picha zangu hapa,mpaka sasa nimepokea sim 5 za vitisho na matusi.Ukifatilia conversation yeye ndo kaanza kuniita mimi mpumbavu,nami nikampa haki yake..iweje yy akimbilie kupost mawasiliano yangu pamoja na picha zangu humu? Bila ridhaa yangu?! Angefanyiwa yy angeridhika?!Yote kwa yote yeye anamaguvu na kwel ameahidi kunifanyia kitu kibaya..mpaka sasa usalama wangu upo mikononi mwake,endapo nitadhurika atakua anahusika asilimia zote.
Uende ukatoe taarifa polisi ili wamtafute haraka Sana.
 
Mkuu asante kwa kunifumbua macho..kutishiwa maisha sio kitu cha mchezo! Kuna habari ya muuza chips nimeisikia kwenye vyombo vya habar..ngoja nichukue hatua!
Uende ukatoe taarifa polisi ili wamtafute haraka Sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom