Toyota altezza inauzwa

Toyota altezza inauzwa

Mkuu asante kwa kunifumbua macho..kutishiwa maisha sio kitu cha mchezo! Kuna habari ya muuza chips nimeisikia kwenye vyombo vya habar..ngoja nichukue hatua!
Nimeiona hiyo habari,jamaa amekutwa kaning'nia kwenye eneo lake la chips Kijitonyama.Mambo ya kutishiana maisha siyo mazuri aise.uchukue na mawasiliano yake.
 
Msipende kutishana siyo jambo zuri,Au nasema uongo ndugu zangu!
Ni kweli kaka upo sahihi, ila alikera sn alivyonambia atanitatua marinda kiukweli hii kauli ilinikera sn ndio nikataka nimjue huyu ni nani ananitukana tusi kubwa kama hili kumchek ni dogo tu ila hana adabu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kaka upo sahihi, ila alikera sn alivyonambia atanitatua marinda kiukweli hii kauli ilinikera sn ndio nikataka nimjue huyu ni nani ananitukana tusi kubwa kama hili kumchek ni dogo tu ila hana adabu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Pole Sana chief,usijali Sana wengine wanatumia maneno tu bila kuyatafakari.Msamehe tu yaishe maana dunia ya Leo iko complex Sana.Forgive and forget brother .
 
Ningekutatua kweli,mshukuru Mungu wako ushatatuliwa! Kama hawakukutatua vzur jibu tena! Gasho wee!!!
Ni kweli kaka upo sahihi, ila alikera sn alivyonambia atanitatua marinda kiukweli hii kauli ilinikera sn ndio nikataka nimjue huyu ni nani ananitukana tusi kubwa kama hili kumchek ni dogo tu ila hana adabu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Sema ukwel..una marinda?
Endelea tu kujifurahisha, sasa hv sikutishii nakaa kimya kuna watu wamenishauri vzr sn ila nikibadili mawazo utaanza kulia lia humu
FB_IMG_16095301710293760.jpg


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa anayejiita dalali Jugo kadhamiria kunidhuru,kaweka namba zangu na picha zangu hapa,mpaka sasa nimepokea sim 5 za vitisho na matusi.Ukifatilia conversation yeye ndo kaanza kuniita mimi mpumbavu,nami nikampa haki yake..iweje yy akimbilie kupost mawasiliano yangu pamoja na picha zangu humu? Bila ridhaa yangu?! Angefanyiwa yy angeridhika?!Yote kwa yote yeye anamaguvu na kwel ameahidi kunifanyia kitu kibaya..mpaka sasa usalama wangu upo mikononi mwake,endapo nitadhurika atakua anahusika asilimia zote.
nicolas unanichekesha sn, ww ni muoga sn nadhani sasa umelewa ila ngoja pombe zikuishe ndio utajua hujui

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom