King Loto
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,757
- 1,541
Hapa amna cha kujua mzee mambo hadharani, hapo ndio utakumbuka ule wimbo wa bukuku wa dunia haina huruma 😅😅😅Humu jamii forum bwana,watu wajuaji kweli kweli,kumbe kuna watu wanawajua in and out.. Kuna dada mmoja pia watu walimpiga spana humu ndani,wakaweka hadi picha zake,sijui alikula mshiko wa jamaa!! Yaani that day ndiyo nilijua kumbe dunia haina huruma!
