Toyota altezza inauzwa

Toyota altezza inauzwa

Kamekimbia hakiongei tena jeuri, nakapigia simu hakapokei

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Aache utani na biashara za watu sasa hivi kakaa kimya 😂😂
Screenshot_20201230-210945~2.png
 
Samahani mkuu ila wewe ni fala uliyekuja haribu biashara ya watu.
Aliyeharibu biashara ni yeye mwenyewe kwa kusema ALTEZA ina engine ya YAMAHA

Ndo maana nasema madalali waende shule.

Unawezaje kudhani kwamba engine ya PIKI PIKI itakuwa selling point, itakuwa na mvuto wa biashara mkubwa zaidi kuliko TOYOTA ???????

TOYOTA hapa duniani ni jina kubwa kuliko YAMAHA !!!!
 
Aliyeharibu biashara ni yeye mwenyewe kwa kusema ALTEZA ina engine ya YAMAHA

Ndo maana nasema madalali waende shule.

Unawezaje kudhani kwamba engine ya PIKI PIKI itakuwa selling point, itakuwa na mvuto wa biashara mkubwa zaidi kwenye gari ya TOYOTA ???????

TOYOTA hapa duniani ni jina kubwa kuliko YAMAHA !!!!
Wee jamaa huelewi kitu ebu tulia nimekostia picha kibao za hiyo engine ya yamaha bado huelewi unaendekeza ubishi
20201229_111427.jpg
20201229_112139.jpg
Screenshot_20201229-111136.jpg
20201228_131411.jpg
 
0753041841 hii si ndio namba yako? Nitakutafuta we endelea kutakana

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hapo umefanya kosa kubwa sana katika maisha yako. Kumbuka una namba zako humu, hivyo ni tayari unajulikana.
Ikatokea kwa bahati mbaya huyo jamaa akadhurika na mtu mwingine au tu ikatokea kakutana na vibaka wakataka kumpora simu akagoma wakaamua kumuua, jua wewe ndio utaenda kujibu kwa kuwa itaonekana wewe ndio uliepanga hilo tukio.
Kuna makosa madogo sana huwa yanaenda kugharimu maisha ya watu.
Ukishaweka mawasiliano yako kwenye social media, basi kaa mbali kabisa na vitisho kwa watu. Na kama kuna comment itakukera basi achana nayo, we endelea na kazi zako.
Nimekushauri hayo kwa kuwa kuna watu wengi hivi vitu vya kutishia vimewagharimu
 
Aliyeharibu biashara ni yeye mwenyewe kwa kusema ALTEZA ina engine ya YAMAHA

Ndo maana nasema madalali waende shule.

Unawezaje kudhani kwamba engine ya PIKI PIKI itakuwa selling point, itakuwa na mvuto wa biashara mkubwa zaidi kuliko TOYOTA ???????

TOYOTA hapa duniani ni jina kubwa kuliko YAMAHA !!!!
Nyie wenzetu mna tatizo la akili? Ni nani alikuambia yamaha wana engine za pikipiki tu?? Mbona hamshangai engine za Boxer kwenye subaru?? Au mbona hamshangai BMW kuwa na engine za gari na pikipiki?
 
Hapo umefanya kosa kubwa sana katika maisha yako. Kumbuka una namba zako humu, hivyo ni tayari unajulikana.
Ikatokea kwa bahati mbaya huyo jamaa akadhurika na mtu mwingine au tu ikatokea kakutana na vibaka wakataka kumpora simu akagoma wakaamua kumuua, jua wewe ndio utaenda kujibu kwa kuwa itaonekana wewe ndio uliepanga hilo tukio.
Kuna makosa madogo sana huwa yanaenda kugharimu maisha ya watu.
Ukishaweka mawasiliano yako kwenye social media, basi kaa mbali kabisa na vitisho kwa watu. Na kama kuna comment itakukera basi achana nayo, we endelea na kazi zako.
Nimekushauri hayo kwa kuwa kuna watu wengi hivi vitu vya kutishia vimewagharimu
Ongelea na vitisho vyake na matusi yake
 
Huyo achana nae, huyo hata apate janga siwezi kushtuka. Majibu yake tu yanaonyesha hana cha kupoteza
Hadi sasa sielewi kilichomkasirisha hadi anitukane, ila nimeamua kumpotezea ni dogo tu wala sina shida nae nishajua akili zake zilivyo ni wakumpotezea tu nilitaka awe msataarabu tu asitukane watu kisa anatumia id fake
 
Aliyeharibu biashara ni yeye mwenyewe kwa kusema ALTEZA ina engine ya YAMAHA

Ndo maana nasema madalali waende shule.

Unawezaje kudhani kwamba engine ya PIKI PIKI itakuwa selling point, itakuwa na mvuto wa biashara mkubwa zaidi kuliko TOYOTA ???????

TOYOTA hapa duniani ni jina kubwa kuliko YAMAHA !!!!

Daah we jamaa hujui na hujui kama hujui.
 
Nyie wenzetu mna tatizo la akili? Ni nani alikuambia yamaha wana engine za pikipiki tu?? Mbona hamshangai engine za Boxer kwenye subaru??

Engine ya Boxer, piki piki ya Mhindi, itumike kwenye Subaru ya Mjapan?

Are you a crackhead ?

Dunia imefika wapi siku hizi mnataka kutuuzia magari mmefanyia modifiation kwa kufunga engine za piki piki ?

Mbuzi kwenye gunia!

1609373395877.jpeg
 
Engine ya Boxer, piki piki ya Mchina itumike kwenye Subaru ya Mjapan?

Are you a crackhead ?

Dunia imefika wapi siku hizi mnataka kutuuzia magari mmefanyia modifiation kwa kufunga engine za piki piki ?

Mbuzi kwenye gunia!

View attachment 1663415
Hahah hii dunia ina mengi aisee,so unachobisha ni kwamba hio engine ya altezza haijatengenezwa na Yamaha sio?
 
Hahah hii dunia ina mengi aisee,so unachobisha ni kwamba hio engine ya altezza haijatengenezwa na Yamaha sio?
NIONYESHE picha ya hiyo engine imeandikwa YAMAHA

Eti SUBARU ina engine ya BOXER

Mjepu afunge engine ya boda boda ya Mdosi ???
 
Hapo umefanya kosa kubwa sana katika maisha yako. Kumbuka una namba zako humu, hivyo ni tayari unajulikana.
Ikatokea kwa bahati mbaya huyo jamaa akadhurika na mtu mwingine au tu ikatokea kakutana na vibaka wakataka kumpora simu akagoma wakaamua kumuua, jua wewe ndio utaenda kujibu kwa kuwa itaonekana wewe ndio uliepanga hilo tukio.
Kuna makosa madogo sana huwa yanaenda kugharimu maisha ya watu.
Ukishaweka mawasiliano yako kwenye social media, basi kaa mbali kabisa na vitisho kwa watu. Na kama kuna comment itakukera basi achana nayo, we endelea na kazi zako.
Nimekushauri hayo kwa kuwa kuna watu wengi hivi vitu vya kutishia vimewagharimu
wewe bwana mdogo wacha kutishia watu, unataka kuaminisha watu kwamba namba za huyo dogo watu hawazifahamu? na watu wamdhuru kwa lipi labda, acha mambo yako wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom